Chauro
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 2,968
- 1,476
Heiiiiiiiiiiii:confused2: Merytina
usimuache azurure ovyo.
usimuache azurure ovyo.
utatunyanganya waume wewe
utatunyanganya waume wewe
Siwezi idhulumu nafsi bwana,ikipenda inapenda tu kwanini kuogopa wakati ndo maisha.
ok ngoja niwe serious kidogo
je nyinyi wanawake mnaopata hisia zote hizo za ajabu ajabu
huwa mnawaeleza waume zenu?
binafsi ningependa jua kuwa una hisia kali hivyo na mimi
Unaweza kuchakachua?
Kiduku vp kinapanda?
ok ngoja niwe serious kidogo
je nyinyi wanawake mnaopata hisia zote hizo za ajabu ajabu
huwa mnawaeleza waume zenu?
binafsi ningependa jua kuwa una hisia kali hivyo na mimi
Halafu MJI amekimbia mbona simuoni!
Mi sionagi mabadiliko...au sijui ndo sijapenda!!
Mh unataka nambia kuwa mapenzi huwakumba watoto tu?..........ah usitudanganye bana!Naona umekumbuka kweli ulivyo kuwa mtoto enzi hizo lol mi huwa sipendi kukumbuka niliko toka
Muwashawasha kama sija m do, nikimalizana naye hata mshipa wa fahamu hautingishiki.
Mi sionagi mabadiliko...au sijui ndo sijapenda!!
Mh unataka nambia kuwa mapenzi huwakumba watoto tu?..........ah usitudanganye bana!
Mi sionagi mabadiliko...au sijui ndo sijapenda!!
Nasikia wanawake tumweumbwa watu wa hisia zaidi labda ndio maana inakuwa hivi.Na mara nyingi tumekuwa na mapenzi ya kweli na ya dhati na hasa kama hulka yako ni kuwa na mwenza mmoja(yaani hubadilishibadilishi wanaume),lazima hisia zitazama kwake.Ni jambo zuri kwani kuna wanawake hawana hisia hata kupenda hawawezi.Huna tatitizo lolote ila jitahidi kubalance uweze kutimiza na majukumu mengine.Wapenzi
yaani naiandika hii thread huku nikicheka............Mnajua wazungu huwa wanasema when you are in love eh you feel some Butterflies in the stomach........najaribu kukumbuka na kuimagine feelings ambazo nilishawahizipata kipindi kile ........mwe yaani kila ukimkumbuka muhsika nlikuwa narukwa na roho ........kibaya zaidi najikuta natabasamu peke yangu na kuachia huu mwanya sijui pengo langu....
Najua kila mtu ana hisia tofauti pale anapohisi yuko in love...kuna wale ambao
1. Hushindwa kula kabisaaaa
2. Kama ni kazi hushindwa kufanya
3. Wanaotamani kila saa wawe wamelala na kukumbatia mito huku waki day-dream kama MJ1 hapa
4. Wengine wanaumwa kabisaaa hadi wamwone muhusika...........sasa hii sijui ni aina ya Hysteria au?
Naomba kujua how do you feel when you are in love jamani??
Je wanaume na nyie mnakumbwaga na hayo maswahib?
Lizzy ,Lizzy natamani ningekuwa kama wewe mimi huwa na ugonjwa wa kupenda lol:confused2: