MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,563
Wapenzi
yaani naiandika hii thread huku nikicheka............Mnajua wazungu huwa wanasema when you are in love eh you feel some Butterflies in the stomach........najaribu kukumbuka na kuimagine feelings ambazo nilishawahizipata kipindi kile ........mwe yaani kila ukimkumbuka muhsika nlikuwa narukwa na roho ........kibaya zaidi najikuta natabasamu peke yangu na kuachia huu mwanya sijui pengo langu....
Najua kila mtu ana hisia tofauti pale anapohisi yuko in love...kuna wale ambao
1. Hushindwa kula kabisaaaa
2. Kama ni kazi hushindwa kufanya
3. Wanaotamani kila saa wawe wamelala na kukumbatia mito huku waki day-dream kama MJ1 hapa
4. Wengine wanaumwa kabisaaa hadi wamwone muhusika...........sasa hii sijui ni aina ya Hysteria au?
Naomba kujua how do you feel when you are in love jamani??
Je wanaume na nyie mnakumbwaga na hayo maswahib?
yaani naiandika hii thread huku nikicheka............Mnajua wazungu huwa wanasema when you are in love eh you feel some Butterflies in the stomach........najaribu kukumbuka na kuimagine feelings ambazo nilishawahizipata kipindi kile ........mwe yaani kila ukimkumbuka muhsika nlikuwa narukwa na roho ........kibaya zaidi najikuta natabasamu peke yangu na kuachia huu mwanya sijui pengo langu....
Najua kila mtu ana hisia tofauti pale anapohisi yuko in love...kuna wale ambao
1. Hushindwa kula kabisaaaa
2. Kama ni kazi hushindwa kufanya
3. Wanaotamani kila saa wawe wamelala na kukumbatia mito huku waki day-dream kama MJ1 hapa
4. Wengine wanaumwa kabisaaa hadi wamwone muhusika...........sasa hii sijui ni aina ya Hysteria au?
Naomba kujua how do you feel when you are in love jamani??
Je wanaume na nyie mnakumbwaga na hayo maswahib?