Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
akalale saa tisa na dakika arobaini na nne mchana ,du,au imekuwa mambo ya keko,ukonga na segerea?
Weeee nae mbona mgomvi hivyo???
akalale saa tisa na dakika arobaini na nne mchana ,du,au imekuwa mambo ya keko,ukonga na segerea?
Yamekupita mengi,jaribu sasa ujionee mwenyewe.
Chauro na Gaga sijawaelewa vizuri!
penzi lipi hasa? mbona kama always tupo in luv na kama muna vituko hivyo maisha yenu yanaendeleaje wandugu?
Unataka nife kwa hilo wewe oooh
akalale saa tisa na dakika arobaini na nne mchana ,du,au imekuwa mambo ya keko,ukonga na segerea?
Yana raha yake atii sasa utakuja simulia nini wajukuu.
huelewi nini sasa na wewe tuambie huwa unajisikiaje unapokuwa in love? mie ndio nilijisikia hivo haieleweki lakini ndio hali halisiChauro na Gaga sijawaelewa vizuri!
penzi lipi hasa? mbona kama always tupo in luv na kama muna vituko hivyo maisha yenu yanaendeleaje wandugu?
Pima faida na hasara hapo.
Mi nilivyo pima kwa upande wangu naona hasara ni nyingi ndo maana nasema sijawahi penda
Yana raha yake atii sasa utakuja simulia nini wajukuu.
hiii thread imenifanya nishukuru kuzaliwa mwanaume kwa kweli lol
mimi ni suruali kutuna tu,nikimuwaza basi....
mengine ndo nayasikia hapa
mnanikumbusha filam za kihindi kwa kweli lol
hiii thread imenifanya nishukuru kuzaliwa mwanaume kwa kweli lol
mimi ni suruali kutuna tu,nikimuwaza basi....
mengine ndo nayasikia hapa
mnanikumbusha filam za kihindi kwa kweli lol
mbona kama munateseka kuwa in lv?huelewi nini sasa na wewe tuambie huwa unajisikiaje unapokuwa in love? mie ndio nilijisikia hivo haieleweki lakini ndio hali halisi
hivi we dada umefanana na hiyo picha au ndio walewale.... maana hiyo picha huwa naipigia ngunga aisee :doh:
jamani hiki kituko.When u feel u r in lv au unapotamani?kwakweli tunamshukuru mola kwa hili,
alituepusha na mastress yasokuwa na lazima lol....
Hahaaaaa mbavu zangu jamani,walewale wakoje angalia usiishie kula kwa macho.
Pigaa bastola!!
hiii thread imenifanya nishukuru kuzaliwa mwanaume kwa kweli lol
mimi ni suruali kutuna tu,nikimuwaza basi....
mengine ndo nayasikia hapa
mnanikumbusha filam za kihindi kwa kweli lol