Limenijia Tu...

Chauro na Gaga sijawaelewa vizuri!
penzi lipi hasa? mbona kama always tupo in luv na kama muna vituko hivyo maisha yenu yanaendeleaje wandugu?
huelewi nini sasa na wewe tuambie huwa unajisikiaje unapokuwa in love? mie ndio nilijisikia hivo haieleweki lakini ndio hali halisi
 
hiii thread imenifanya nishukuru kuzaliwa mwanaume kwa kweli lol

mimi ni suruali kutuna tu,nikimuwaza basi....
mengine ndo nayasikia hapa
mnanikumbusha filam za kihindi kwa kweli lol
 
Siwezi idhulumu nafsi bwana,ikipenda inapenda tu kwanini kuogopa wakati ndo maisha.

Pima faida na hasara hapo.

Mi nilivyo pima kwa upande wangu naona hasara ni nyingi ndo maana nasema sijawahi penda
 
Na hicho ndio tunachokipenda Lol,tungefanana tusingechanganyikiwa juu yenu.

hiii thread imenifanya nishukuru kuzaliwa mwanaume kwa kweli lol

mimi ni suruali kutuna tu,nikimuwaza basi....
mengine ndo nayasikia hapa
mnanikumbusha filam za kihindi kwa kweli lol
 
:majani7: it was fun kwa kweli! nikimtumia msg kichelewa kujibu nakosa raha kama mgonjwa vile! that experience, we acha tu! to fall in love ni rahaaa! ila to stay in love is another challenge!
 
hiii thread imenifanya nishukuru kuzaliwa mwanaume kwa kweli lol

mimi ni suruali kutuna tu,nikimuwaza basi....
mengine ndo nayasikia hapa
mnanikumbusha filam za kihindi kwa kweli lol

kwakweli tunamshukuru mola kwa hili,
alituepusha na mastress yasokuwa na lazima lol....
 
huelewi nini sasa na wewe tuambie huwa unajisikiaje unapokuwa in love? mie ndio nilijisikia hivo haieleweki lakini ndio hali halisi
mbona kama munateseka kuwa in lv?
mimi sithubutu kuweka hapa hali yangu when i feel am in lv ila hizo za kwenu ni vituko jamani
 
Hahaaaaa mbavu zangu jamani,walewale wakoje angalia usiishie kula kwa macho.

hivi we dada umefanana na hiyo picha au ndio walewale.... maana hiyo picha huwa naipigia ngunga aisee :doh:
 
hiii thread imenifanya nishukuru kuzaliwa mwanaume kwa kweli lol

mimi ni suruali kutuna tu,nikimuwaza basi....
mengine ndo nayasikia hapa
mnanikumbusha filam za kihindi kwa kweli lol

Mzee unajua kupenda lakini?

Au wewe unatamani ukisha pata na ukakata kiu basi unageuza kisogo?
 
Back
Top Bottom