Limebaki boom moja sina hata business idea

Limebaki boom moja sina hata business idea

Usijisumbue.....wewe utakachokutana nacho mbele ndio kitaamua ucheze vipi , usiishi kwa wasiwasi sana
 
Boom ni 600k, toa 156k kulipa deni la boom advance toa Kodi, toa chakula toa nauli toa book na stationary...!!

Kifupi namaliza chuo sina hata mia, na sio mia tu sina hata business idea.

Natamani kulia natamani kucheka

Hapa itabidi nijitahidi kukwepa hili deni la boom advance nakwepaje wakati unakata mfumo??
Usijipe pressure bure we kula ilo boom alafu mtaani kutajijua kwenyewe hakuna alikufa sababu hajala chakula hii tanzania.
 
Nikikumbuka siku ya mwisho pale adult, nilitokwa na chozi , nilikuwa na hela lkn sasa mpk leo ßiamini km nimeweza kuishi

Alhamdullilah
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom