Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,143
Nani mkali kati ya Lil Ommy na Jonijo? Nini sababu ya hawa jamaa kutokaa sehemu moja, wana ugomvi gani?
Umemaliza maana nlitaka kusema ivo.Mafahari wawili hawaishi zizi moja
usimfananishe dozen na huo upuuzi wewe dozen ni habar ingineYaani unamfananisha the king of interviews
lilyommy,the guy your mother your sister love?
Acha aisee lilyommy ni international presenter sio sawa na jonijoo ni bado sana kwa ommy
namkubali sana pia jonijoo kwa swag na misemo yake ya kisera flani hivi,lakini bado yuko local sana kama kina b dozen tu,
and the winner is lilyommy.
Acha kumfananisha king wa afternoon show Bdozen na vitu vya kipumbavu, kuwa na adabu!Bdozen hamna kitu pale ni Utopolo ule
uwezi mlinganisha jonijoo na Bdozen
jonijoo anaswag na misemo ya kihuni wanayoipenda vijana,
hata kimuonekano tu,utagundua jonijoo ni next xana kuliko huyo bdozen
sema Mashabiki wa cloudsfmtz ni kama mbuzi mmezoea kula majani hamjui Kama kuna vingine zaidi ya majani.