Hizo tuzo hadi wadwanzi wanapata, mi huwa nazidharau. Kwahiyo Lil Ommy anafahamika kuliko kina Kikeke?[emoji1][emoji1][emoji1], bro hebu kuwa siriaz nitajie mafanikio aliyonayo Lil Ommy kumzidi Dozen.
Nikupe Mfano mafanikio ya mtu kama Millard Ayo;-
1. Anamiliki Channel ya news yenye subscribers wengi pengine kuliko zote E.A
2. Ana ushawishi mkubwa sana, kupitia kazi anazofanya
3. Anaingiza pesa nyingi sana kupitia kazi yake na ameajiri vijana wengi wanaomsaidia
4. Page yake ya IG inafatiliwa na watu wengi kuliko mtangazaji yeyote EA hii ni kutokana na wengi hufatilia habari kupitia page yake
Huo ndo mfano wa mafanikio nnayotaka kuyasikia, na sio vituzo uchwara za waganga njaa wa Naijeria waliolowea Marekani
Sent using
Jamii Forums mobile app