Olivia olivia
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,620
- 3,788
Tuseme mtu anataka kununua kiwanja
Lakini hajui achague viwanja vilivyopo kati ya Bagamoyo Road vs Morogoro Road, utamwambia aende wapi?
Kibaha au Bagamoyo?
Ni sehemu gani itakuwa na thamani na imechangamka zaidi ndani ya miaka 5?
Lakini hajui achague viwanja vilivyopo kati ya Bagamoyo Road vs Morogoro Road, utamwambia aende wapi?
Kibaha au Bagamoyo?
Ni sehemu gani itakuwa na thamani na imechangamka zaidi ndani ya miaka 5?