Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,414
- 25,938
Wapo wanaosema JK anam control, wakati kiuhalisia Samia ni copy ya kike ya JPM, wala hafananii JK leadership style, labda wanafanana kwenye uzembe wa kusimamia watumishi wa umma tuHotuba yake UN, inanifanya nisitarajie Jambo serious. Japo natamani aridhie Katiba mpya na demokrasia ndio Jambo kubwa kwa umoja na ustawi wa taifa letu.
Wananchi wewe na nani?wananchi tunataka maendeleo sio katiba,
katiba wanataka wanasiasa.
Katiba sio hitajio la wananchi.
mwaka 2010 Kenya iliandika Katiba nzuri na bora lkn hadi leo 2021 bado haijatatua changamoto za wananchi, South Afrika vivyo hivyo n.k.
hivyo katiba sio mwarobaini.
kazi iendelee hadi 2040.
Hilo la mwendazake kuachia nafasi ya uraisi bila ubishi limetulia mnoUmetimiza vigezo au ni shukurani kwa mwendazake kwa kuachia uraisi bila ubishi.......
Mzigo mwingine Kwa walipa kodi.Hakuna cha maana sana sana Chato Mkoa mpya.
Mbona Magufuli alikaa kikatili na kikabila sn kuliko MARAIS wote EA lkn alishindwa kujua yy ni mwanadamu anapita tu katika mamlaka aliye pewa.Embu Fanya utafiti hapo mtaani kwako.
Maza hana mvuto watu wanamchukia sana mitaani huku tanganyika.
Jana tulikuwa sehemu tukawa tunadiscus hii ishu
Wananchi wanamchukia Sana huyu maza nahisi ni haya mambo ya tozo , na pia kauli zake za kibaguzi kijinsia , na kuonekana amekaa kizanzibari zaidi,
Mtu anayeruhusu kuingizwa mkenge bado una imani nae tu? hatujui kesho na kesho kutwa ataingizwa mkenge jana.Tuna imani na Samia, hali mradi yule shetani yupo kuzimu, tumpe ushirikiano mama.
Dosari yake kwangu ni kuingizwa mkenge kesi ya Mbowe tu, lakini muda anao wa kurekebisha na DPP kamteuwa yeye.
Jambo gani ccm haijawahi kuwa serious, labda atuambie jinsia ya kike ndo raisiBwana Yesu asifiwe wapendwa.
Kama tulivyokwishatangaziwa na Mwenezi wa CCM komredi Shaka kuwa leo Rais Samia atakuwa na jambo letu.
Tega sikio hapa hapa bwashee.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Tubu au futa jina Hilo, unabatiza watu wa kuzimuniBwana Yesu asifiwe wapendwa.
Kama tulivyokwishatangaziwa na Mwenezi wa CCM komredi Shaka kuwa leo Rais Samia atakuwa na jambo letu.
Tega sikio hapa hapa bwashee.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Mama amepoteza ushawishi kwa kiwango cha kutisha sana !Bwana Yesu asifiwe wapendwa.
Kama tulivyokwishatangaziwa na Mwenezi wa CCM komredi Shaka kuwa leo Rais Samia atakuwa na jambo letu.
Tega sikio hapa hapa bwashee.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Mpaka Sasa hujapata hilo Jambo? Au ndo huu utopolo wa mkutano wa Chama cha makulaji?Bwana Yesu asifiwe wapendwa.
Kama tulivyokwishatangaziwa na Mwenezi wa CCM komredi Shaka kuwa leo Rais Samia atakuwa na jambo letu.
Tega sikio hapa hapa bwashee.
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Umetimiza vigezo au ni shukurani kwa mwendazake kwa kuachia uraisi bila ubishi.......