Kipangaspecial
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 19,276
- 25,716
Wapo wanaosema JK anam control, wakati kiuhalisia Samia ni copy ya kike ya JPM, wala hafananii JK leadership style, labda wanafanana kwenye uzembe wa kusimamia watumishi wa umma tuHotuba yake UN, inanifanya nisitarajie Jambo serious. Japo natamani aridhie Katiba mpya na demokrasia ndio Jambo kubwa kwa umoja na ustawi wa taifa letu.