Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,913
- 67,435
Apitie nyuzi za mapishi atotoka kapa 😂mpe kanuni za upishi, japo ajipooze kwa mtori na supu ...😂😂
Apitie nyuzi za mapishi atotoka kapa 😂mpe kanuni za upishi, japo ajipooze kwa mtori na supu ...😂😂
Ishini nasi kwa akili
Wanawake wanawezana wao kwa wao wadhurumiana hata mia lazima pachimbikeKwema wakuu?
Leo, nimepata tukio moja la masuala ya hela ambalo nilifanya na mwanamke mmoja, kazi imekamilika, zimeanza ngonjera.
Hili ni tukio la Nne maishani mwangu, so nimejifunza, usifanye deal na mwanamke. NEVER.
Wazo zuriMtombe kwanza mheshimiane
Nilitaka kusema hivyo hivyo.Mtombe kwanza mheshimiane
Atapewa mbususu tu kupoza machungu.Duh Kuna mshikaji wangu kamkopesha demu laki3 Kwa hiyo tutarajie maumivi Kwa upande wake!?
Ni hatari ukipigwa tukio lazma ufe.Oya, mimi hata mke wangu wa ndoa simwamini sana. Mimi ni Achraf Hakimi wa Bunju. Sasa nyie mnao-expose kila kitu kwa wake zenu nawashangaa sana.
Aisee!Mtombe kwanza mheshimiane
Ndo hivyo man. Hawa viumbe wanataka sana pesa yetu, ila pesa yao huwezi kuishika. Nimeyaona hayo kwa wife na mimi nimeshabuni mbinu ya kuishi naye.Ni hatari ukipigwa tukio lazma ufe.
UbinafsiNdo hivyo man. Hawa viumbe wanataka sana pesa yetu, ila pesa yao huwezi kuishika. Nimeyaona hayo kwa wife na mimi nimeshabuni mbinu ya kuishi naye.
Wenzetu mna mioyo laini Sana .Kwema wakuu?
Leo, nimepata tukio moja la masuala ya hela ambalo nilifanya na mwanamke mmoja, kazi imekamilika, zimeanza ngonjera.
Hili ni tukio la Nne maishani mwangu, so nimejifunza, usifanye deal na mwanamke. NEVER.
Mimi ninayetumia mshahara na vyanzo vingine vya mapato kuhudumia familia, na yeye ambaye ana mshahara ila anauficha na hataki kuutumia kwa ajili ya familia, nani mbinafsi hapo?Ubinafsi
300,000/- kwa mbususu mbona haviendaniAtapewa mbususu tu kupoza machungu.