Megabits
JF-Expert Member
- Nov 21, 2015
- 532
- 587
Sahihi kabisa, nilipoteza milioni kadhaa kutoka kwa mwanamke kwa kusubiri ziwe nyingi. Nilimseti ikawa deal imekubali ila akasema anipege nusu kwanza mi nikambwela asee kuja kustuka kashagaili kmmk niliumaindi kinoma..Pole kwa kuchelewa kulijua hao watu. m'ke akikukubalia kumtia leo nenda kamtie haraka ukirudi kesho kashabadili mawazo utazan sio yule ulieongea nae jana tu. wako ivo. hamna mpango wa muda mrefu.
Hawa watu ni ukiwaseti ukiwin hata usiku wa manane kakamilishe mchongo ukisubiri pakuche tuu ushafeli..