Licha ya demokrasia kusitawi sana Tanazania, Je, kinachoonekana kwenye siasa za upinzani ni CHADEMA kujitenga yenyewe au imetengwa na upinzani?

Licha ya demokrasia kusitawi sana Tanazania, Je, kinachoonekana kwenye siasa za upinzani ni CHADEMA kujitenga yenyewe au imetengwa na upinzani?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
36,155
Reaction score
30,832
Na je,
Chadema inafanya siasa kweli?

Sote ni mashahidi,
uhuru, haki na usawa kwa vyama vya siasa nchini vimeimarika sana. Vyama vya siasa hususani upinzani nchini vimepata pumzi na nguvu mpya ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara katika mazingira bora zaidi kulingana na uwezo na mipango yao.

Pamoja na hayo,
bado changamoto ya uhasama usio julikana, chuki binafsi kisiasa , kutoaminiana wala kutothaminiana miongoni mwa vyama vya siasa vya upinzani kuna onekana kwa maneno na vitendo.

Kwanini unadhani vyama vya upinzani nchini hawapendani na wala hawaaminiani wao kwa wao licha ya uwanja wa demokrasia kuimarika sana na wote wakilenga kukiondoa madarakani chama tawala?

Je kinachoonekana sasa,
ni Chadema ndio imejitenga na upinzani au upinzani ndio umeitenga Chadema?🐒

Mungu bariki Tanazanians.
 
Na je,
Chadema inafanya siasa kweli?

Sote ni mashahidi,
uhuru, haki na usawa kwa vyama vya siasa nchini vimeimarika sana. Vyama vya siasa hususani upinzani nchini vimepata pumzi na nguvu mpya ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara katika mazingira bora zaidi kulingana na uwezo na mipango yao.

Pamoja na hayo,
bado changamoto ya uhasama usio julikana, chuki binafsi kisiasa , kutoaminiana wala kutothaminiana miongoni mwa vyama vya siasa vya upinzani kuna onekana kwa maneno na vitendo.

Kwanini unadhani vyama vya upinzani nchini hawapendani na wala hawaaminiani wao kwa wao licha ya uwanja wa demokrasia kuimarika sana na wote wakilenga kukiondoa madarakani chama tawala?

Je kinachoonekana sasa,
ni Chadema ndio imejitenga na upinzani au upinzani ndio umeitenga Chadema?🐒

Mungu bariki Tanazanians.
CCM mmehama kwenye siasa, sasa hivi hamtaki hata watu Kumuabudu Mungu kanisani!
 
CCM mmehama kwenye siasa, sasa hivi hamtaki hata watu Kumuabudu Mungu kanisani!
jikite kwenye hoja haina haja kuhamisha mjadala gentleman 🐒
 
Naona unalazimisha hoja za cdm ili upate replies nyingi. Unakwama wapi🌈
relax gentleman ikiwa huna mawazo mapya wala fikra mbadala dhidi ya hoja mahususi mezani 🐒
 
Na je,
Chadema inafanya siasa kweli?

Sote ni mashahidi,
uhuru, haki na usawa kwa vyama vya siasa nchini vimeimarika sana. Vyama vya siasa hususani upinzani nchini vimepata pumzi na nguvu mpya ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara katika mazingira bora zaidi kulingana na uwezo na mipango yao.

Pamoja na hayo,
bado changamoto ya uhasama usio julikana, chuki binafsi kisiasa , kutoaminiana wala kutothaminiana miongoni mwa vyama vya siasa vya upinzani kuna onekana kwa maneno na vitendo.

Kwanini unadhani vyama vya upinzani nchini hawapendani na wala hawaaminiani wao kwa wao licha ya uwanja wa demokrasia kuimarika sana na wote wakilenga kukiondoa madarakani chama tawala?

Je kinachoonekana sasa,
ni Chadema ndio imejitenga na upinzani au upinzani ndio umeitenga Chadema?🐒

Mungu bariki Tanazanians.
Demokrasia unayoizungumzia ndo hii. Huyu Bwana alichukuliwa hatua gani, au alichowaambia Jeshi la Polisi wafanye ni sawa?
 
Na je,
Chadema inafanya siasa kweli?

Sote ni mashahidi,
uhuru, haki na usawa kwa vyama vya siasa nchini vimeimarika sana. Vyama vya siasa hususani upinzani nchini vimepata pumzi na nguvu mpya ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara katika mazingira bora zaidi kulingana na uwezo na mipango yao.

Pamoja na hayo,
bado changamoto ya uhasama usio julikana, chuki binafsi kisiasa , kutoaminiana wala kutothaminiana miongoni mwa vyama vya siasa vya upinzani kuna onekana kwa maneno na vitendo.

Kwanini unadhani vyama vya upinzani nchini hawapendani na wala hawaaminiani wao kwa wao licha ya uwanja wa demokrasia kuimarika sana na wote wakilenga kukiondoa madarakani chama tawala?

Je kinachoonekana sasa,
ni Chadema ndio imejitenga na upinzani au upinzani ndio umeitenga Chadema?🐒

Mungu bariki Tanazanians.
Hiyo kitu inastawia chini ya uso wa dunia ama kwenye uso wa dunia ndugu,tunaoishi kwenye uso wa dunia hatuioni hiyo kitu.
 
Hiyo kitu inastawia chini ya uso wa dunia ama kwenye uso wa dunia ndugu,tunaoishi kwenye uso wa dunia hatuioni hiyo kitu.
Gentleman,
ukikubali kutapeliwa uhuru wa kifikra na vibaka wa kisiasa, kamwe hauwezi kuona namna ambavyo demokrasia inavyoimarika na kunawiri Tanazania.

ni muhimu kwanza kujikwamua kwenye mikwamo ya mindset kwanza 🐒
 
Najua umeiangalia vizuri, ila kwa sababu ya uchawa ulionao huwezi kuwa na majibu hapo zaidi ya kupiga blaablaa tu. Mwisho wenu u karibu sana
waeleze wadau waJF gentleman bila mihemko wala ramli au imani potofu za ushirikina 🐒
 
Na je,
Chadema inafanya siasa kweli?

Sote ni mashahidi,
uhuru, haki na usawa kwa vyama vya siasa nchini vimeimarika sana. Vyama vya siasa hususani upinzani nchini vimepata pumzi na nguvu mpya ya kufanya siasa na mikutano ya hadhara katika mazingira bora zaidi kulingana na uwezo na mipango yao.

Pamoja na hayo,
bado changamoto ya uhasama usio julikana, chuki binafsi kisiasa , kutoaminiana wala kutothaminiana miongoni mwa vyama vya siasa vya upinzani kuna onekana kwa maneno na vitendo.

Kwanini unadhani vyama vya upinzani nchini hawapendani na wala hawaaminiani wao kwa wao licha ya uwanja wa demokrasia kuimarika sana na wote wakilenga kukiondoa madarakani chama tawala?

Je kinachoonekana sasa,
ni Chadema ndio imejitenga na upinzani au upinzani ndio umeitenga Chadema?🐒

Mungu bariki Tanazanians.
Tanzania hakuna demokrasia,bali kuna mkoloni kutoka Zanzibar na ccm anapoteza Watanganyika.
 
Cdm ilishajiangukia kitambo, kutokana na andiko lako la mei 30, sasa nani tena wakumtenga mpinzani aliyejichokea. Au cdm imetengamaa ghafla hivi punde na wameibuka wapinzani wengine wanamvuruga kwa gere?....kama wapo wanaomtenga wataje. maiti haifi mara mbili.
 
Back
Top Bottom