Uchaguzi 2020 Leseni ya Udereva, Kitambulisho cha NIDA na Hati ya Kusafiria kutumika katika kupiga Kura Oktoba 28

Hebu fikiria scenario hii

Mtu ana vitambulisho vinne, cha mpiga kura, leseni, passport n. k...
Wizi ni kitu kingine. Kwa kituo hewa, unaweza "kupiga" kura mara kadhaa bila hata ya kuhitaji kitambulisho chochote, for that matter. Sasa anaendaje physically kupiga kura kwenye kituo hewa?
 
NECCM mtafufua vingele vyote lakini tambueni lazima JIWE atemeshwe viazi vya MOTO kwenye Ballot Box.
 
Goli lamkono litapigiwa hapa

Zitaingizwa kura kibao ambazo huwezi jua ziloitokea wapi

Hii move ilitakiwa isiwe ua kushtukiza zikiwa zimebaki siku 9 kupiga kura
Hii wamepewa akili na mtaalam wa siasa chafu.... si alienda kumtembelea na kuomba ushauri baada ya hali kuwa tete
 
Wangetoa hata ruhusa hiz siku zilizobaki kuna watu tulijiandikisha mkoa fulani kwasababu za kiutafutaji tuko mkoa mwingine tungeweza hata kuhakikiwa tumchague raisi tu. Ni idadi kubwa sana ya watu ambao kiukweli tutakosa kupiga kura kwasababu hii.
... human migration is a very difficult issue to control; really very complex. Haiwezekani watu wote wakapiga kura, haitokaa itokee kamwe hata watu wajiandikishe hadi siku ile ya kupiga kura bado kuna ambao hawatapiga kwa sababu mbalimbali. Muhimu ni kuwa na good representation on behalf of the rest.
 
Kuna watu walirubuniwa na wanasiasa hasa wa upinzani na kujikuta wanawauzia vichinjio vyao.

Habari njema ni kwamba watu hao sasa wataruhusiwa kupiga kura kwa kutumia kitambulisho cha taifa au leseni.
Katika hili naipongeza sana Tume ya uchaguzi.

Maendeleo hayana vyama!
 
Mkuu hawawezi kukubali maana CCM yao inaondoka madarakani wakat wao kila kukicha wanawaza ni nini wafanye ili ccm uendelee kutawara milele we nenda kapige kura kwa Lissu hawataziiba maana zitakuwa nyingi mno watz tumechoka kuwa wakimbizi kweny nchi yetu.
Kura yangu nishafanya maamuzi na naendelea kishawishi wengine wampigie Lisu. Huyu mbabe asiyetaka kupangiwa na asiyetaka kuingiliwa akapumzike Chato.
 
Safi sana NEC, sasa wale walanguzi wa vitambulisho vya kupigia kura imekula kwao! Chakufanya ewe mwananchi masikini uliyerubuniwa na kuuza kitambulisho chako sasa Mungu kakurudishia fursa mkononi, kama umeshauza kitambulisho, hiyo pesa kula aalafu nenda kituo cha polisi katoe taarifa na upate loss report ya kitambulisho chako.

Kisha tulia, andaa kile cha NIDA siku ya tar 28.10.2020 unatinga nacho kumchagua Lissu!
 
Tusisahau kua ni kwa wale waliojiandikisha, mtu anaweza atoka huko na leseni yake hakujiandikisha akalazimisha kupiga kura na kuleta migogoro na wasimamizi, ata baadhi ya vyombo vya habari hasa magaazeti badala ya kuelimisha wananchi wanapotosha wananchi
Utakuta kichwa cha habari
'WENYE PASPORT, LESENI YA UDEREVA ,NIDA RUKSA KUPIGA KURA'
elimu inatakiwa
 
Una ushahidi gani kuwa CHADEMA hawakuboresha taarifa zao? Yaani kuna mijitu haina akili hadi kero.
Pumbavu unaishi wapi wewe? Wakati wa kuboresha mlisusa Leo unajifanya chizi ili mseme mtaibiwa kura wakati hamtapiga.
 
Wangetoa hata ruhusa hiz siku zilizobaki kuna watu tulijiandikisha mkoa fulani kwasababu za kiutafutaji tuko mkoa mwingine tungeweza hata kuhakikiwa tumchague raisi tu. Ni idadi kubwa sana ya watu ambao kiukweli tutakosa kupiga kura kwasababu hii.
Nyinyi ndo mnaomfariji Tundu Lisu kwa kujaa kwenye mikutano yake kumbe hamna sifa za kupiga kura, CCM mbele kwa mbele iwasubiri tu muingie barabarani .
 
hii inaenda kuwagharimu CCM, tukumbuke kwamba huwa inasemwa sana kwamba CHADEMA huwa wana wafuasi tu na si wapiga kura. sasa kuruhusu hilo... maana yake hao wafuasi wanapata fursa ya kupiga kura.
Ngoja tuone.
Unasema nini?? Haya mabadiliko ya mwishoni ni hatari kwa upinzani chekini movie mtakayochezewa.
 
Back
Top Bottom