ELcapitano Maestro
Member
- Dec 12, 2020
- 14
- 34
Habarini wadau wa JF,
Kitambulisho cha Nida kina taarifa kamili za muhusika wa kitambulisho hicho.
Sasa kwanini kisitumike hicho pekee katika kujaza fomu ya kupata passport ya kusafiria...badala yake wanahitaji cheti cha kuzaliwa, kitambulisho / namba ya nida n.k
Badala ya kujaza maelezo mengi katika fomu na kuhitaji viambatanishi mbalimbali, kwanini isingekuwa inaingizwa namba ya nida pekee maana hio ina taarifa kamili ya muhisika.
Nadhani hoja yangu itakuwa imeeleweka kidogo kwa waelewa...naomba ufafanuzi kidogo.
Ahsante.
Kitambulisho cha Nida kina taarifa kamili za muhusika wa kitambulisho hicho.
Sasa kwanini kisitumike hicho pekee katika kujaza fomu ya kupata passport ya kusafiria...badala yake wanahitaji cheti cha kuzaliwa, kitambulisho / namba ya nida n.k
Badala ya kujaza maelezo mengi katika fomu na kuhitaji viambatanishi mbalimbali, kwanini isingekuwa inaingizwa namba ya nida pekee maana hio ina taarifa kamili ya muhisika.
Nadhani hoja yangu itakuwa imeeleweka kidogo kwa waelewa...naomba ufafanuzi kidogo.
Ahsante.