Leonardo Da-Vinci


Mbona madai ya kawaida tu hayo ?mbona wanadai hata Vicky Kamata ni kifaa cha mkulu !!
 
Huyu ni master architect wa conspiracy against Roman Catholic by then and up to date. Hiyo ni kifupi cha kazi zake.
 

Asante kwa ufafanuzi mkuu
 
Mhhhhhh!!!! hebu ngoja kidogo hii kitu iko wapi kwenye google au biblia,mi sisomagi yote oly few and selected areas.
 

Hujamuelewa Iron lady...Anasema kuna vitabu wakati Kanisa Katoliki lina-compile Biblia iliviacha.....Hivyo vitabu anadai vinamuelezea Maria Magdalena kwa undani...

Yeye anataka kujua kwann kanisa iliviacha....???
 
Huyu ni master architect wa conspiracy against Roman Catholic by then and up to date. Hiyo ni kifupi cha kazi zake.

Huyu jamaa alikuwa pia Mkatoliki....Ila alikuwa mchoraji.....Inasemekana wakati akiwa anafanya kazi Vatcan alihamishiwa kitengo cha Maktaba.....Huko ndo akawa anasoma vitabu na nyaraka mbalimbali...

Akagundua kuwa Yesu alikuwa ni mpenzi wa Mary Magadalene....
 
Ngoja tusubiri tuone kama wataweza kujibu,but for sure hawatoweza.In fact you can't know what U have till you loose it,cjui wanasomaga hao jamaa kwenye kitabu chao,mnfyuuuuuuh.......!


Kwann yasijibike?
Problem yenu mnataka kuaminisga watu kuw yaliyomo kwny quran na biblia ni sawa...
Hakuna kitu km hicho na Mungu wa Biblia sio wa.quran
 

mkuu huoni kuwa kusema hililiwepo na hili lisiwepo ni wanadamu kuandika kitabu kwa mikono yao na fikra zao na kusingizia kuwa ni maandiko ya MUNGU? Ni mwanadamu gani ana mamlaka ya kuificha kweli aliyoileta Mungu? Pana maswali mengi ya kujiuliza juu ya ukamilifu wa biblia, nani amecompile na kwa mamlaka ya nani? Aise, leo nimeamini jinsi ukristo ulivo na mashaka, has juu ya kitabu cha biblia!
 
hakika MUNGU uliyemtaja ndiye MUNGU wa kweli! Huitaji kumjua jina bali yeye YUPO amabaye YUPO, Mwenye uhai wa milele mwenye kusimamia mambo ya viumbe, hashikwi na usingizi wala kulala, ni vyake peke yake vilivyomo mbinguni na ardhini(quran 2:255) inaeleza sifa za MUNGU wa kweli. Ni MUNGU wa IBRAHIM, ISIHAKA, ISMAILI, YAKOBO, MUSA, YESU, MUHAMADI NA MIMI NA WEWE. Kama huamini, hiyo ni shauri yako, ila mimi nimeamini na kwake nimenyenyekea. Ili umjue MUNGU wa kweli usisimame sana katika dini, ila jaribu kujua sifa za MUNGU kwanza kablaya dini yako, hiyo itakusaidia sana kwani mwisho wa siku utaacha tabia ya kipumbavu ya kuabudu kanisa, msikiti, dhehebu, mchungji, papa, shehe, mitume n.k, hatimaye utamwabudu MUNGU, ambaye si lazima umjue jina bali ujue tu kuwa YEYE NI MUNGU, HAKIKA HATAKUACHA. Ahsante brother niliyeku quote hapo juu kuhusu MUNGU, nimependezwa sana maana hata kama tutakuwa tupo dini tofauti lakini hakika MUNGU wetu ni mmoja, Hakuzaa wala hakuzaliwa, ni wa milele
 
Hujamuelewa Iron lady...Anasema kuna vitabu wakati Kanisa Katoliki lina-compile Biblia iliviacha.....Hivyo vitabu anadai vinamuelezea Maria Magdalena kwa undani...

Yeye anataka kujua kwann kanisa iliviacha....???

Asante kwa kunielewa tena vitabu hivyo vinaeleza kwa undani maisha ya mary even after jesus died.
 

Tetete haya bwana ila mimi si brother am a lady
 

iron lady una akili nyingi sana kwa hakika, bila shaka kuna roho nzuri ndani yako inakuongoza tofauti na watu wengi wanavoongozwa na wenzao
 
too late kujua ukweli kuhusu mtu huyo, dunia tuliyosasa wenye uwezo wao wanaweza kukulisha data fake na ukazimeza ukiamini ndio ukweli hasa huku kwenye mitandao kila kitu kimeshapangwa kiende vipi.
 

wee ndugu,MUNGU hana jina moja, ana majina MENGI MNOOOOOOOO! Hata ukimwita MMILIKI, hilo pia nia jina lake, Mwingi wa Rehema, Mwenye Nguvu, Bwana, ana majina mengi mnooooooooooooooooo! kubwa zaidi ni kuwa YUPO AMBAYE YUPO, . So kumshurutisha mtu ataje jina la MUNGU, kunaonesha jinsi gani upeo wako ulivomezwa na dhehebu lako! kwa mantiki hiyo nakushauri utafakari upya juu ya unavomfikiria Mwenyezi MUNGU. Mimi personally MUNGU ninayemuabudu jina lake namuita "Mwenyezi MUNGU". Ukitaka nikutajie sifa na mamlaka yake nenda quran 2:255. Sifa zake nyengine zapatikana kwenye biblia, ni yule ambaye YESU ALIMSUJUDIA!. Ni bwana wa majeshi
 
Hpo ndipo mtu mwenye akili timamu ataanzia kuutafuta ukweli

Kuna vita inaendelea ndugu yangu ya kumpaka matope huyu aliyebadilisha historia ya dunia!

in real sense kuna mengi wameyaficha kuhusu uhalisia wa maisha ya yesu ila hata mimi nakubaliana na leonardo da vinc na wengineo kua yesu alikua na mahusiano ya kimapenzi na maria magdalena pamoja na dem mwingine anaitwa elizabeth na ushahidi upo ingawa unafichwa fichwa
 

mh lete habari, hii ya elizabeth umeipata wapi tena na ilikuwajekuwaje tujuze tafadhali na vyanzo usisahau
 

Ni kwanini binadamu tuna majina?
 

Yesu mwenyewe alisema kuwa hakuna lililofichwa ambalo halitafichuliwa halafu wewe unasema "yamefichwa" si kituko hiki?

Unasema kuwa Yesu alikuwa na sijui mahusiano,unajua Yesu ni nani ndugu?
Halafu yatafichwaje halafu wewe uyajue?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…