Leonardo Da-Vinci

Leonardo Da-Vinci

Biblia ni mkusanyiko mkuu...Usijitoe ufahamu...Maana yake vitabu vyake vimekusanywa na pia si kitabu kimoja bali vingi.....
Hili nalijua
Hata Ijili zilikusanywa 24 kwapamoja....Kati ya hizo zikachambuliwa zikabaki 4......Sasa unachatakiwa kujua ni sababu gani zilipelekea vitabu na Injili zingine kuachwa...
Suala hapa sio kusema tu bali ni kusema huku unaweka na ushahidi kwani yoyote yule anaweza kusema chochote kile na akawa sahihi kwa mujibu wake mwenyewe lakini atakapotaka na watu wakubaliane nae ni pale ambapo atakapoleta ushahidi usiopingika

Kuna misukule mingine inasema biblia imechafuliwa bila ushahidi,je nayo tukubalie tu?
Kama hapana ni kwanini?
Naona una ombwe kubwa la historia....Na historia uliyonayo ni yakupotosha(Biased).....
Tatizo hapa sio wewe kuona kuwa nina ombwe bali kuweka ushahidi wa huo ombwe unaodai wewe

Kuna watu wana matatizo ya kuelewa halafu matatizo yao hayo wanayahamishia kwa yale ambayo wameshindwa kuyaelewa,sijui wewe upo kwenye kundi gani
Unatakiwa kulipa kanisa Katoliki Heshima yake ya kukupa Biblia hata kama unalichukia na hukubaluani nalo...
Natakiwa na nani?

Unaijua historia ya Kanisa Katoliki?
Kama unaijua hebu niwekee hapa na uniambie ni kwanini tuiamini hiyo yako na sio nyingine yoyote ile

Kanisa Katoliki halijanipa Biblia,kwa kitendo chako cha kusema hili unaonesha vile ambavyo hujui hata biblia ipo kwasababu gani,lakini zaidi hujui hata biblia imekuwepo kuanzia lini!
 
google last supper/davinci code.......wanafalsafa wa kale wamekuwa wakidadisi kwa muda mrefu sana uhusiano tete kati ya yesu na Marry Magdalena...kuna waandishi wengi ambao waluigusia uhusiano huu na wakaishia kupotezwa na Romani empire ikiwamo Leonanardo davinci...baada ya mchoro huo Davinci alihama nchi yake kwa kuhofia maisha yake ambayo yaliwekwa rehani na utawala wa Roma wa kipindi chake...kisa chake kinamambo meni ..lakini simulizi ambazo zimeendelea kuzikwa ni ukweli kuhusu maisha ya Yesu...

1)..nini position ya Marry Magdalena b4, during & after jesus christ.
2) mbona alivuma ghafla katika biblia na kupotea ghafla baada ya kifo cha yesu..ni sawa na maisha ya Yoseph mme wa mama yake yesu nayo ni kizungu mkuti.
3) alegations kwamba yesu alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na Merry Magdalena na walipata watoto wawili ni za kale even b4 Leonardo who is did put the thing in public via drawings..na inasemekana baada ya kifo chake watoto na familia yake ilitoroshewa ulaya magharibi inasemekana hasa parts za Ireland/UK

Hakuna ushahidi wowte katika kitabu ninachoa mini cha quran kwamba Yesu ( Issa) kama alikuwa na girl friend.... ni dhambi kumzushia mtume wa Mwenyezimungu uongo tena unaomdhalilisha... nyie wakristu sasa mmeingia kwenye Laana hakika
 
Hili nalijua

Suala hapa sio kusema tu bali ni kusema huku unaweka na ushahidi kwani yoyote yule anaweza kusema chochote kile na akawa sahihi kwa mujibu wake mwenyewe lakini atakapotaka na watu wakubaliane nae ni pale ambapo atakapoleta ushahidi usiopingika

Kuna misukule mingine inasema biblia imechafuliwa bila ushahidi,je nayo tukubalie tu?
Kama hapana ni kwanini?

Tatizo hapa sio wewe kuona kuwa nina ombwe bali kuweka ushahidi wa huo ombwe unaodai wewe

Kuna watu wana matatizo ya kuelewa halafu matatizo yao hayo wanayahamishia kwa yale ambayo wameshindwa kuyaelewa,sijui wewe upo kwenye kundi gani

Natakiwa na nani?

Unaijua historia ya Kanisa Katoliki?
Kama unaijua hebu niwekee hapa na uniambie ni kwanini tuiamini hiyo yako na sio nyingine yoyote ile

Kanisa Katoliki halijanipa Biblia,kwa kitendo chako cha kusema hili unaonesha vile ambavyo hujui hata biblia ipo kwasababu gani,lakini zaidi hujui hata biblia imekuwepo kuanzia lini!

Wewe mjuvi hebu niambie Biblia ilikuwa kuanzia lini...!! Hebu wacha kunilisha maneno wewe eti sijui Biblia ipo kwa ajili gani....

Historia naijua vizuri...Ila kwakuwa wewe upo biased na Historia unayoijua wewe ni kwa upande wa hasi na si chanya...hata ningekueleza historia ni sawa na kumchezea mbuzi gitaa....
 
Wewe mjuvi hebu niambie Biblia ilikuwa kuanzia lini...!! Hebu wacha kunilisha maneno wewe eti sijui Biblia ipo kwa ajili gani....

Historia naijua vizuri...Ila kwakuwa wewe upo biased na Historia unayoijua wewe ni kwa upande wa hasi na si chanya...hata ningekueleza historia ni sawa na kumchezea mbuzi gitaa....

Unanishangaza kwa kuwa hujajisumbua hata kujibu nilichokuuliza

Siku hizi sijisumbui na watu wa aina yenu

Kama unataka mjadala baina yangu mimi na wewe uendelee jibu nilichokuuliza kwanza!
 
Hakuna ushahidi wowte katika kitabu ninachoa mini cha quran kwamba Yesu ( Issa) kama alikuwa na girl friend.... ni dhambi kumzushia mtume wa Mwenyezimungu uongo tena unaomdhalilisha... nyie wakristu sasa mmeingia kwenye Laana hakika

Yesu sio Issa!
 
Yesu sio Issa!
YESU NDO NANI SASA... AU HUJAWAHI TOKA NJE YA NCHI YAKO nenda Jordan na Iraq kanisani ukajue jina la Yesu... hutamkwaje kama unajidanganya kila nchi jina lake ni yesu basi tembea kijana... na kwa taarifa yako Allah ndo Mungu kwa kiarabu au nikuwekee verse ya biblia kwa kiarabu?



redler_arabic1.gif
 
YESU NDO NANI SASA... AU HUJAWAHI TOKA NJE YA NCHI YAKO nenda Jordan na Iraq kanisani ukajue jina la Yesu... hutamkwaje kama unajidanganya kila nchi jina lake ni yesu basi tembea kijana... na kwa taarifa yako Allah ndo Mungu kwa kiarabu au biblia kwa kiarabu hii hapa ... Yesu au Jesus hakuna kule anaitwa masihi sawa sawa na na sisi tunavyomuitwa masihi Issa


http://www.injeel.com/Read.aspx
 
Leonardo da Vinci (1452-1519) was a painter, architect, inventor, and student of all things scientific. His natural genius crossed so many disciplines that he epitomized the term “Renaissance man.” Today he remains best known for his art, including two paintings that remain among the world’s most famous and admired, Mona Lisa and The Last Supper. Art, da Vinci believed, was indisputably connected with science and nature.

Despite being recognized as the best in art & science Leonardo Da Vinci was nothing but a puppet of the aliens who gave him all his ideas on technology.Jamani fuatilieni kwenye history channels mtaona jinsi alivyosaidiwa na aliens secretly kufanikisha kila alichogundua.Pia Da Vinci alipoteaga 2-to-5-years and his whereabouts were unknown and undocumented. While other artists in 16 century advanced intelligence in science, art and medicine, there is conjecture that Leonardo Da Vinci was given the artificial intelligence by another living resource from other planets or universe.Mimi naona he was lucky that he encountered aliens or UFO who helped him in technologies but Iam sure he did not have any imagination in creativity.
Among the Leonardo da Vinci biography and collection of artwork, “War Machine,” suggests that the artist may have encountered an alien or UFO.

Leonardo’s life was a summary of his universal genius in art, sculpture, mathematics, optics, etc.
More exciting: Leonardo used “non-lead-based paint” in one painting—which was “some type of message” according to scholar Giorgio Tsoukalos.

This type of paint doesn’t photograph under x-rays, Leonardo must have known this and planned for ancient astronaut theorists to fantasize about him 500 years later.

David Childress, who is not an ancient astronaut theorist mind you, then claims during the undocumented years of Leonardo’s young life he was secretly being tutored by an alien-worshiping cult, or worse: “Perhaps like the biblical prophet Enoch he was even taken aboard a spaceship, and the aliens showed him earth from above and gave him a concept of the cosmos and machines and inventions...”

If we take both of Ancient Aliens' claims at face value, that Leonardo traveled through time to the future to steal the plans for his inventions, and also that “all” our modern technology derives from Leonardo’s own designs, we then end up in a time-travel paradox that would seem to imply that this knowledge appeared ex nihilo.

This is nothing but more of the ancient astronaut theorists’ insistent claims that imagination does not exist, that creativity is a fraud, and only they—the ancient astronaut theorists—have true intellectual gifts. Everyone else got it from the aliens.
Pia inasemekana he was an alien being na mwili wake haukuonekanaga wachambuzi wanaamini he was carried by alien aircraft.

NB All human appearing beings on earth and elsewhere are not necessarily of the same origin if
even if they do both possess human bodies with the same core biological functions and processes. If there is an underlying consciousness it is not necessarily the same type of consciousness(soul) in all human appearing beings. There is a real possibility that an
alien form of consciousness can exist in human bodies alongside
other *normal humans* without them realizing it. This is what a
practical alien race would do if they were to come to a different universe for some sort of dimensional conquest. In fact any advanced alien intelligence will realize that if they are going to infiltrate a universe outside their own with beings already occupying it they are going to have to assume the dominant form.
bado sijaona cha maana alichofanya zaidi ya kusifiwa tu,uvumbuzi wake wa kisayansi ni upi?ha fikii level za akina galileo,einstein,kepler,newton,etc!zaidi ilikuwa mysterious tu na tumichoro twake tuwili
 
na inasemekana kuwa vitabu vyote vilivyomzungumzia mary navyo vyote viliachwa.
go find the books in vatican library if and only if you can.
si kweli,vitabu vya injili vimemtaja mary magdalena,yule aliyefumaniwa akaokolewa na yesu,na tena kwenye msiba wa lazaro yule Yesu alimfufua,Mary magdalena nduguye martha,mkuu umesahau,injili umemtaja sana tu,na tena alienda kaburini siku ya kwanza ya juma
 
we jamaa huna fact yeyote hivi we umezaliwa tu umekuta wazazi wako wanasari may be ni wa kristo na we umekua mkristo na wangekua waislamu na we wenda ungekua muislamu tu...tatizo ukiwa sana pro na dini habari nyingine hutaki kusikia na unakua blind!...kama waafrika tulikua tuna abudu miti na milima...we unadhani ingekuaje kama hao wasingeleta dini zao huku? ungekua mkristo au....na umekua mkristo una imani gani kua hao waliokuletea dini wewe ni dini ya kweli? au waliitengeneza kwa manufaa yao binafsi?
ukristu uliletwa ili tuukubali ukoloni uislamu ili utumwa u take place
 
Nilimaanisha injili ya kwake mwenyewe mkuu.
Na injili zilizoegemea kumuelezea yeye peke yake.
 
Well argument mchunga kondoo wa bwana,...hata mimi nilikuwa najiuliza amewezaje kuchora picha ambayo ime_draw attention ya ulimwengu as if ni ya kweli wakati hata hakuwepo vizazi na vizazi vimepita,...lazima kuna jambo limejificha nyuma ya huyu jamaa


That is the work of lucifer mkuu ht usishangae
 
sisi tuliambiwa tunaabudu miungu na si Mungu.....sasa na hii jehova sharma, jehova nisi..na mengineyo imekaaje..is Christianity real Monotheistics?


Ss hapo km c msomaji bibilia utachanganyikiwa bure
Kifupi Mungu ni 1 tu na hayo majina uliyoyaandika hapo mbona kwny biblia yametafsiriwa!!
Tena yapo zaidi ya hayo yanayoanza na jina Yehova yaani (Mungu) walitumia wayahudi kwa lugha ya kiebrania, wakiwa na maana Mungu.
Ss hayo shama, yire, shalom, nisi nk yapo mengi yana maana zake kutokana na lilipotumika/lilivyotumika/waliolitumia
 
YESU NDO NANI SASA... AU HUJAWAHI TOKA NJE YA NCHI YAKO nenda Jordan na Iraq kanisani ukajue jina la Yesu... hutamkwaje kama unajidanganya kila nchi jina lake ni yesu basi tembea kijana... na kwa taarifa yako Allah ndo Mungu kwa kiarabu au nikuwekee verse ya biblia kwa kiarabu?



View attachment 161759

Unaweza hata ukawa hujui ni kwanini nimesema kuwa Yesu sio Isa

Halafu hivi ni kwanini unataka Yesu awe Issa?
Issa hawezi kujisimamia mwenyewe hadi afananishwe na Yesu?

Narudia tena kukuambia kuwa Yesu sio Issa na hilo liko wazi

Yesu Kiarabu sio Issa ni Yeshu,kama kuna walevi au wasiojua wamemuita Yesu Issa hilo ni tatizo lao na sio la watu wengine

Allah haina tafsiri ya moja kwa moja kwa kiswahili na Mungu kwa Kiarabu ni Ilah sio Allah,nenda kamuulize imam wako maana ya Allah kama atakuambia na hakuna anaejua

Allah ni jina na Mungu sio jina bali sifa,chochote kile kinachoabudiwa huitwa Mungu na hata wewe hapo ukianza kuabudiwa utaitwa mungu lakini utakuwa una jina lako na hapo kwenye jina lako ndipo tunapata Allah,kudai Allah maana yake ni Mungu ni ujing.a
 
YESU NDO NANI SASA... AU HUJAWAHI TOKA NJE YA NCHI YAKO nenda Jordan na Iraq kanisani ukajue jina la Yesu... hutamkwaje kama unajidanganya kila nchi jina lake ni yesu basi tembea kijana... na kwa taarifa yako Allah ndo Mungu kwa kiarabu au nikuwekee verse ya biblia kwa kiarabu?



View attachment 161759

mawazo ya hovyo na kijinga kabisa! Yesu ni mwokozi aliyekufa na kufufuka akapaa mbinguni. Kama Issa naye ana sifa hizo sawa, otherwise hata Manyovu kuna mbunge anaitwa Obama.
 
Unaweza hata ukawa hujui ni kwanini nimesema kuwa Yesu sio Isa

Halafu hivi ni kwanini unataka Yesu awe Issa?
Issa hawezi kujisimamia mwenyewe hadi afananishwe na Yesu?

Narudia tena kukuambia kuwa Yesu sio Issa na hilo liko wazi

Yesu Kiarabu sio Issa ni Yeshu,kama kuna walevi au wasiojua wamemuita Yesu Issa hilo ni tatizo lao na sio la watu wengine

Allah haina tafsiri ya moja kwa moja kwa kiswahili na Mungu kwa Kiarabu ni Ilah sio Allah,nenda kamuulize imam wako maana ya Allah kama atakuambia na hakuna anaejua

Allah ni jina na Mungu sio jina bali sifa,chochote kile kinachoabudiwa huitwa Mungu na hata wewe hapo ukianza kuabudiwa utaitwa mungu lakini utakuwa una jina lako na hapo kwenye jina lako ndipo tunapata Allah,kudai Allah maana yake ni Mungu ni ujing.a

elimu nzuri sana, naamini kaelewa. Kama hajaelewa atakuwa na majini, pande moja la kitimoto akili yake itakuwa sawa
 
Ngoja tusubiri tuone kama wataweza kujibu,but for sure hawatoweza.In fact you can't know what U have till you loose it,cjui wanasomaga hao jamaa kwenye kitabu chao,mnfyuuuuuuh.......!

sisi tunasoma na kufikiri clockwise, ninyi mnasoma na kufikiri anticlockwise
 
huyu jamaa ni masonic ukifuatilia michoro yake kwa umakini utaona vijialama fulani nilicheki television y viasatExplorer jamaa walifafanua sana michoro yake

Ni wachache sana wanaoweza kulitambua hilo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom