Mr Penal Code
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 823
- 213
hebu tupia hapa chakula unachokula mchana hapa.?
leo nimepitisha chalinze wima.....
ndizi moja, kuku paja!
kesho nitakupa mimi mama yako lunch,
umesikia eeh.
Baba amesema tutakula jioni
wali maini na parachichi aka avocado bila kusahau mboga mboga, hapa kabichi inahusika xana!!!!!!!!!!!!
...makande...