Wahindi ni kama wachaga ni wabaguzi sana
Sasa naona heshima imekushinda.
Hayo ni matatizo ya kulelewa na mama pekee bila kujuwa baba'ko mzazi ni yupi. Sikushangai.
Hakuna haja ya kuwauliza.Duniani ukisafiri kuna kitu kinaitwa MIND YOUR OWN BUSINESS.Wabane pua au makalio IT IS NONE OF YOUR BUSINESS.Dunia hii ukikalia kuangalia kila mtu anakuangaliaje au kakubaniaje pua n.k Utaishia kuwa kichaa.Wengine wana allergy yawezekana hiyo lift ilikuwa na vumbi wakabana pua zao.Anyway iwe wamebana pua kwa sababu yeyote kwangu is none of my bussiness ningeeendelea na mambo yangu na nisingehangaika hata kuwatazama nyuso zao.
Mkuu, Tafadhali usijumlishe wahindi wote sema baadhi !! Na kama ubaguzi hata sisi wazawa tunayo tabia hiyo!!!! Manosa Mkuu, vipi unatoa tuhuma na kuchanganya maudhui..... bila kukadiria !! kujifanya mjanja ni hulka ya binaadamu hata mimi na wewe na engine hufanya ujanja katika maisha!!
Tujifunze kuishi katika mazingizra yote !! Wewe pia ziba au bana pua yako !! au funika mdomo wako!! au ziba masikio yako !!
Pole Kiongozi, Kweli tusiwahukumu wanajamii kwa kosa la mmoja au wawili!! ...usijaali mambo madogomadogo!mkuu mbona unanibebesha gunia la misumari?
Mkuu si ungewauliza tu kwanini wamebana pua zao?
Mkuu si ungewauliza tu kwanini wamebana pua zao?
Miafrika imelaaniwa hata uifanyie nini, hawana shukrani kabisa, ujinga umewajaa
pale ppf tower mida ya asubuh kuna muhind alikuwa akidrive kibaby walker alimzingua jamaa ,lakin yule mswahil alimkazia waswahil walimhbeza yule muhind akawa anajitetea yeye mtanzania,
endelea kufanya uchunguzi kabla ya kuhukumu,pengine kuna kitu kina wadhuru.
Nilishawahi kutana na kadhia hiyo kwenye nchi moja ya kiarabu,kila mfilipino ninae kutana nae naona ameziba pua nikajua ni kwa ajili yetu sisi waafrika labda tuna nuka lakini nikaja kupata jibu kuwa wanapata shida sana najua pua zao zina umia hapo ndipo nilipo toa imani potofu niliyo kuwa nayo,labda jaribu kufuatilia then upate jibu muafaka usi hukumu bila kupata ushahidi.
Suala la kunyanyapaliwa lisitafsirike kisiasa maana hakuna ushahidi wa kumtia hatiani watu kama hao wahindi kwa kitendo chao cha kuwabania pua waswahili,
Watu kama hao ni kuwapuuza tu au kuwaonesha kivitendo kwamba sisi sio wa hadhi yao, maana kwa rushwa ilivyo hapa bongo ukiuliza tu kwanini wanawabania pua mnaweza kuwekwa sero kwa kuambiwa kuwa mmewatukana wageni, au kutaka kuwaibia.
Acha hizo wewe!!! Watu wanasafiri sehemu mbali mbali duniani na kupiga stories na wasafiri wenzao waliokutana nao safarini for the first time na wengine kubadilishana hata contact info na kuwa marafiki itakuwa kuwauliza watu kwenye lift wanabana pua kwa sababu zipi badala ya kujishuku na mtu kudai kabaguliwa wakati hana ushahidi wa kuthibitisha kauli yake kwamba walibana pia kwa sababu ananuka.