Tokyo40
JF-Expert Member
- Jun 16, 2013
- 2,065
- 1,926
Mr.mzumbe
Kuna watu wapo very sensitive na harufu, iwe harufu mbaya au mzuri kwako... hata hayo mapafyumu yenu wengine yanawakera! Je, umejuaje kwamba walibana pua kwa sababu waliona mnanuka na si kwamba mmoja wenu alijipulizia manukato ambayo yaliwadhiki? In addition, lift hupandwa na watu wengi the whole day long... wanaonukia vizuri na wanaotoa harufu mbaya... na wakati mwingi inakuwa sealed! What, if kabla yenu kulikuwa na watu walipanda ambao mmoja wao aliacha harufu humo lakini nyie waswahili wenzetu mliozoea miharufu hamku-feel hizo harufu?
Ni kweli maneno yako Mkuu. Nimeshuhudia ofisini kuna Mzungu alikuwa na allergy na perfume yoyote. Ofisi Yake ipo sealed kabisa. Kuongea nae ni kwa simu tu. Na hata hivyo, kutwa alikuwa anacheua. Allergy ni mateso sana.
Last edited by a moderator: