Leo nimebaguliwa na Wahindi

Leo nimebaguliwa na Wahindi

Status
Not open for further replies.
Kwa ujumla nimekaa india lakini hadi naondoka sijaona ubaguzi ,ila ni kwa hawa wanaokaa bongo ambao wao wanabagua wenye asili ya hapa ,yaani Waafrika ,na ila sikingine ni ngozi tu ,kwao ni maskini wa kutupwa kabisa ,ila huku wanatunisha misuli tu ,bur ess kabisa.
 
Yawezekana kati yenu kuna aliyetumia manukato ambayo hayakuwapendaza au pengne wana aleji nayo ivyo wakaziba pua wasidhurike. Tatizo hapo limekuwa n mtazamo wako juu yao
 
Sisi kuna Mudhungu alishawahi kutucheka tukiwa kwao, na sisi tulipoanza kumcheka kwa nguvu hadi tukalia, yule jamaa alitaharuki na kuanza kulia kwa ńini tunamcheka. Mwisho ilibidi kumbebeleza kwa huruma jinși livyobwabwaja chozi......

Hawa jamaa yaani wako wengina Wahindi wawili, wao wanaZifyata bakora zao. Aibu..... meen.

na nyie mngebana pua
 
Mr.mzumbe

Poleni sana watanzania wenzangu ambao hamumalizi siku moja bila ya kunyanyaswa na wahindi.

Piga makofi hao, mm ninge waprovoke kwa maneno ili wa react then niwachalaze, kenge kabsa

= niwacharaze

Hao Wahindi unaosema wewe labda wa kuja, wahindi wa Dar uwacharaze? nakuomba jaribu siku moja.
 
we mpumbavu sana,uko nchini mwako halafu unafanyiwa hivyo umeangalia tu!! ilitakiwa ulete post humu ikisema unahudhuria mahakamani kwa kosa la kuvunja shigo wahindi. Mpuuzi sana we mwanaume kama mabinti.

Kama alikuwa ananuka kweli? hivi mtu huwa anabana pua kwa ubaguzi au kwa harufu?
 
Habari,

Leo mida ya saa tisa hivi, nilikuwa Ahaad apartment(Morogoro rd/Libya street) floor X. Nilipomaliza kazi zangu nikabonyeza lift ili niweze kushuka ground floor, kipindi naingia kwenye lift kuna mdada wa kibongo (alikuwa amevaa vizuri tu) alikuwa anashuka na humo ndani walikuwa wahindi wawili wanawake wamebana pua.

Mara ya kwanza nilifikiri labda wanabana pua zao kwasababu zao binafsi. kumbe sababu yao ilikuwa ni sisi waswahili tuliopanda ndani ya lift tulikuwa tunanuka!!!! Kwakweli nilijisikia vibaya sana, kwahiko kilichotokea.

Ninauhakika asilimia mia kabisa mimi na hata wale abiri wenzangu(waswahili) tulikuwa hatuniki hata kidogo ila ni ubaguzi uliopitiliza kwa hawa Washenzi wa kihindi. Kweli nipo kwenye ardhi yangu ya tanzania lakini bado nabaguliwa!!!!!??!!! Hawa watu ipo dawa yao inashemka tu, ipo siku watakuja kutuheshimu sisi waswahili.

Poleni sana watanzania wenzangu ambao hamumalizi siku moja bila ya kunyanyaswa na wahindi.

Ww ungetoa Airfresh ukapulizia.
 
Habari,

Leo mida ya saa tisa hivi, nilikuwa Ahaad apartment(Morogoro rd/Libya street) floor X. Nilipomaliza kazi zangu nikabonyeza lift ili niweze kushuka ground floor, kipindi naingia kwenye lift kuna mdada wa kibongo (alikuwa amevaa vizuri tu) alikuwa anashuka na humo ndani walikuwa wahindi wawili wanawake wamebana pua.

Mara ya kwanza nilifikiri labda wanabana pua zao kwasababu zao binafsi. kumbe sababu yao ilikuwa ni sisi waswahili tuliopanda ndani ya lift tulikuwa tunanuka!!!! Kwakweli nilijisikia vibaya sana, kwahiko kilichotokea.

Ninauhakika asilimia mia kabisa mimi na hata wale abiri wenzangu(waswahili) tulikuwa hatuniki hata kidogo ila ni ubaguzi uliopitiliza kwa hawa Washenzi wa kihindi. Kweli nipo kwenye ardhi yangu ya tanzania lakini bado nabaguliwa!!!!!??!!! Hawa watu ipo dawa yao inashemka tu, ipo siku watakuja kutuheshimu sisi waswahili.

Poleni sana watanzania wenzanguambao hamumalizi siku moja bila ya kunyanyaswa na wahindi.
Wewe ni mwanaume wa mkoa gani ?

Umekaa kinyoronyoro unashtaki jambo lililo ndani ya uwezo wako huo ni ufala uliopitiliza ulishindwaje kuwawajibisha hao wasichana alafu huoni hata aibu kushtaki.
 
Hivi umeshindwa kuuliza ujinga huo wao...???
 
Pole kwa kubaguliwa ila siku nyingine uulize kwanza
 
Kabla ya kumrudisha kwao, mrudishieni pesa zake mlizozipokea mikono miwili.

ImageUploadedByJamiiForums1422936426.922041.jpg
 
By Fidelis Butahe
Dar Es Salaam — Chama Cha Mapinduzi (CCM) has said it has no ill feelings about a decision by one of its prominent cadres, Mr Mustafa Sabodo, to give Sh100 million as campaign contribution to the Opposition Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Last week, Mr Sabodo, a prominent Dar es Salaam-based businessman, gave the Opposition party money as a way of helping it in the ongoing General Election campaigns.

Source: allafrica.com
 
By Fumbuka Ng'wanakilala

DAR ES SALAAM (Reuters) - India said on Friday it would give Tanzania $180 million to upgrade water supplies in the East African nation, and the two countries agreed to remove tax hurdles and boost bilateral trade.

New Delhi earmarked a further $10 million of aid for the education sector.

The two countries also signed a deal for the construction of a $150 million hospital specialising in heart surgery in Dar es Salaam, helping Tanzania save millions of dollars spent each year sending patients for referral treatment in India.

Source: Reuters.com
 
By Fidelis Butahe
Dar Es Salaam - Chama Cha Mapinduzi (CCM) has said it has no ill feelings about a decision by one of its prominent cadres, Mr Mustafa Sabodo, to give Sh100 million as campaign contribution to the Opposition Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

Last week, Mr Sabodo, a prominent Dar es Salaam-based businessman, gave the Opposition party money as a way of helping it in the ongoing General Election campaigns.

Source: allafrica.com

"Baniani mbaya kiatu chake dawa".
 

...................
 
Last edited by a moderator:
By Fumbuka Ng'wanakilala

DAR ES SALAAM (Reuters) - India said on Friday it would give Tanzania $180 million to upgrade water supplies in the East African nation, and the two countries agreed to remove tax hurdles and boost bilateral trade.

New Delhi earmarked a further $10 million of aid for the education sector.

The two countries also signed a deal for the construction of a $150 million hospital specialising in heart surgery in Dar es Salaam, helping Tanzania save millions of dollars spent each year sending patients for referral treatment in India.

Source: Reuters.com
Miafrika imelaaniwa hata uifanyie nini, hawana shukrani kabisa, ujinga umewajaa
 
Honestly hawa watu wanaubaguzi wa hali ya juu sana. Ipo siku watu watachoka
 
we mpumbavu sana,uko nchini mwako halafu unafanyiwa hivyo umeangalia tu!! ilitakiwa ulete post humu ikisema unahudhuria mahakamani kwa kosa la kuvunja shigo wahindi. Mpuuzi sana we mwanaume kama mabinti.

mkwara mkaliii hehehehe hivi ungeenda kumtolea dhamana endapo angekua hatiani?
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom