Leo nimebaguliwa na Wahindi

Leo nimebaguliwa na Wahindi

Status
Not open for further replies.
Mmmh hapo samahani naona umezidisha sukari katika chai... sasa hainyweki!! just be fair !!
mkuu, this is my own experience. si mara moja wala mbili nimelishuhudia hili,mwanzoni niliumia baadae nikawa nacheka tu. tembea kwao uhuindini au nenda kwa wale "vimacho" uone ubaguzi.
mbaya zaidi wanawafundisha ubaguzi mpaka watoto wadogo.
ngoja nikuitie Watu8 aje akupe uzoefu wake kwa wale "vimacho".
Hakyanani unaweza ukatamani kumtia mtu ngumi. Kwenye lifti wengine wakikuona upo wewe hawapandi hata kama lift haijajaa na uko wewe peke yako.
 
ukipewa viganja vikubwa sio kulia ugali na kuugeuza geuza na kuficha matonge makubwa pia vinauwezo wa kuchapa makofi makubwa naya haja
 
NduguEyangukwachatulaya1wa0manenobnilini5mchagaahindi ni kama wachaga ni wabaguzi sana[/QUOTE]
Ndugu yangu wachaumalaya wa maneno nilini mchaga ali kubagua??. nilini uli panda lifti na mchaga aka funga pua??.
Nina kusha uri ukiwa huna chakuongea basi siombaya uka tulia wenye vya maana vyakuongea wakaongea.
 
Jamani tusiwalaumu tuu hao wahindi,Mimi nakumbuka kuna siku nimejipulizia maji ya gesi yangu Giorgio Armani Nuit ,napanda lift kwenda juu pale jengo la IT High Spirit wahindi hao hao uvumilivu ukawashinda mmoja akaniambia ndugu unanukia vizuri sana .ubaguzi hupo jamani , hila na sisi wabongo tujipende pende kidogo hata vi Deo vya buku 7,hao wahindi walikutana na harufu ambayo inakera labda ,uenda sio wabaguzi au uenda pia na wao wana harufu Fulani kwa binadamu mwengine Kero . Kuondoa mzizi wa kubaniwa pua piga Maji ya gesi ya ajabu tuu utaona hata ukivaa gunia ukipita mbele za watu utawaacha wakishagaa sio gunia bali ni harufu nzuri uliyowaachia.ushauri wangu tuu
 
Yaani wewe hata sijui nikuiteje kwanza ungeuwauliza wangekuletea nyodo ungewapa vibao vya kutosha then wewe ukawa wa kwanza kwenda polisi.maana hiyo jamii wabaguzi sana.lkn nakufundisha njia nyingi kuanzia sasa ukipata nao lift uwe na BigG unatafuna wakileta dharau zao wewe unambandika tu ktk hizo nywele zao.mimi nilishambandika mdosi mmoja bigG nilipokuwa primary mbona alikata nywele yeye lkn machawa yake yalikuwa yanikera ukimwambia alikuwa jeuri.
 
Habari,

Leo mida ya saa tisa hivi, nilikuwa Ahaad apartment(Morogoro rd/Libya street) floor X. Nilipomaliza kazi zangu nikabonyeza lift ili niweze kushuka ground floor, kipindi naingia kwenye lift kuna mdada wa kibongo (alikuwa amevaa vizuri tu) alikuwa anashuka na humo ndani walikuwa wahindi wawili wanawake wamebana pua.

Mara ya kwanza nilifikiri labda wanabana pua zao kwasababu zao binafsi. Kumbe sababu yao ilikuwa ni sisi waswahili tuliopanda ndani ya lift tulikuwa tunanuka!!!! Kwakweli nilijisikia vibaya sana, kwa hiko kilichotokea.

Nina uhakika asilimia mia kabisa mimi na hata wale abiria wenzangu(waswahili) tulikuwa hatuniki hata kidogo ila ni ubaguzi uliopitiliza kwa hawa Washenzi wa kihindi. Kweli nipo kwenye ardhi yangu ya Tanzania lakini bado nabaguliwa!!!!!??!!! Hawa watu ipo dawa yao inashemka tu, ipo siku watakuja kutuheshimu sisi waswahili.

Poleni sana watanzania wenzangu ambao hamumalizi siku moja bila ya kunyanyaswa na wahindi.
 
hili la kuwa waafrika wananuka ni mentality ya watu wa Asia. mimi mwanzoni nilipata cultural shock lakini siku hizi hata sijali. Ukiwa nchi za Asia nyingi kati ya hizo utakutana na huu ujinga,ukikaa kwenye train au daladala basi siti za jirani hakuna atakaekuja kukaa na wewe ,wako radhi wasimame.Wengine huwa wanabadili mpaka njia wasipishane na wewe mtu mweusi.
Duuuh! Hii ni hatar . Sasa mimi niliyemweusi tii si ndo nitakuwa nikitemewa mate muda wote
 
mkuu, this is my own experience. si mara moja wala mbili nimelishuhudia hili,mwanzoni niliumia baadae nikawa nacheka tu. tembea kwao uhuindini au nenda kwa wale "vimacho" uone ubaguzi.
mbaya zaidi wanawafundisha ubaguzi mpaka watoto wadogo.
ngoja nikuitie Watu8 aje akupe uzoefu wake kwa wale "vimacho".
Hakyanani unaweza ukatamani kumtia mtu ngumi. Kwenye lifti wengine wakikuona upo wewe hawapandi hata kama lift haijajaa na uko wewe peke yako.
Kumbe hapo waafrika wanafaidi sana wanakuwa hawabughudhiwi
 
Mkuu kipigo kingeanza kwenye lift kes ingeishia polisi tena kwan kunilipa fidia
 
Mkuu,
Kweli yamekukuta ila kwa sababu ilikuwa ghafla bila mategemeo hukuweza kufanya lolote. Sisi tuliowahi kufika kwao tunawadharau tuuu.
Jua kwamba kule kwao, hata wafanye nini, ubaguzi ni mfumo wa maisha. Kuna kabila lao. Wale wahindi weusi, Wasidi. Ni ruksa kumuua amini usiamini. ni ruksa kumuua ukimkuta ana rupia ya noti. Haruhusiwi kabisa kwani yeye amelaaniwa, hawezi kushika noti. Watakataa lakini huo ndo ukweli.
Kuna kabila, kwao ni laana kumtamani mwanamke wa kwao mtu wa nje ya kabila lake. Akiolewa kwenu ati kwa sababu mapenzi hayana macho, binti atauawa kwa mbinu zozote asije haribu taifa.
Ubaguzi ni mwingi kuliko maelezo tena wa wazi wazi kabisa. Hawa wa hapa kwetu, ingia kwenye duka lao, wanakuangalia kwa jicho la mashaka mpaka utoke. Hata hela yako anatamani mtu mwingine aishike wala si yeye. Utasiki; Nini taka veve. Nasema; haiwezekani mtu umezaliwa hapo Samora, ukasoma Kisarawe Pr School, ukamalizia Tambaza halafu lafudhi yako isibadilike. No.noo!
Anajua asemacho kuwa wewe ni takataka tu
Kiboko yao ni mzee mmoja akiitwa Songambele; Aliwapiga marufuku kukaa madirishani na kumtazama rais akipita Samora Ave. Mpaka leo, wanamkumbuka
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom