Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 42,451
- 50,183
Sijui ni lini mgombea wa Urais atakuja na sera ya kuwakimbiza hawa wapuuzi. Atapata kura nyingi sana. Wakati mwingine nawachukiaga UKAWA bure tu ila UKAWA wakiichukua hii nchi hao Wahindi wataipata habari yao. Kuna baadhi ya watu wakubwa wanawapa vichwa hawa watu kwasababu ya rushwa.
Marehemu Mtikila alikuja na wazo lake la kuwaondoa magabachori akalaumiwa sana, lakini ukweli upo palepale kuwa wahindi si watu wema kabisa, wanafanya mengi mabaya ila tu ni kwamba hatuna pakusemea, hata ukisema unaonekana ni mbaya, bila kutazama kwa makini namna ya kulishughulikia jambo hili, basi very soon watanzania halisi tutakuwa wageni wa wahindi, they will twist us the way they like kitu ambacho sisi hatuwezi kufanya tukiwa kwao