Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 49,734
- 89,333
Ungesema watu wawili na siyo wahindi.Nawe ni mbaguzi tu mkuu.
= niwacharaze
Hao Wahindi unaosema wewe labda wa kuja, wahindi wa Dar uwacharaze? nakuomba jaribu siku moja.
Honestly hawa watu wanaubaguzi wa hali ya juu sana. Ipo siku watu watachoka
Mkuu si ungewauliza tu kwanini wamebana pua zao?
Mkuu, Tafadhali usijumlishe wahindi wote sema baadhi !! Na kama ubaguzi hata sisi wazawa tunayo tabia hiyo!!!! Manosa Mkuu, vipi unatoa tuhuma na kuchanganya maudhui..... bila kukadiria !! kujifanya mjanja ni hulka ya binaadamu hata mimi na wewe na engine hufanya ujanja katika maisha!!watu wanasema kuna mmoja alikuwa ananuka,mimi hili jambo nalikataa kabisa,kipindi mimi naingia kwenye lift,yule mdada alikuwa anashuka kwenye lift na muda mdada anashuka,wale wahindi walikuwa wameachia pua zako..ghafla sisi tunapanda kwenye lift(mimi na mdada mwininge) na wao ghafla wameziba tena pua na kuongelea puani.Hata kama mimi ninanuka au yule dad a mwingine aliyepanda,lakini inawezekana vipi ndani ya sekunde hazizidi tano, mtu upate harufu mbaya ya mwenzio mpaka uzibe pua!!!
Kitendo kilichotokea ni cha kibaguzi kabisa lakini wapo wapuuzi wachache waandika kwa kuwapa okay wahindi kwa walichofanya!!! waswahili ni watu wa hovyo kabisa. Ndio maana wengi maofisini wanaishi kwa kujipendekeza pendekeza tu na wapo tayari kuwanyanyasa waswahili wenzio ili muhindi afurahi.
Asante sana waswahili wenzangu.
Tatizo mmezowea kuiba....na wahindi wako makini kulinda mali zao, ndo maana mnawatukana sana
Habari,
Leo mida ya saa tisa hivi, nilikuwa Ahaad apartment(Morogoro rd/Libya street) floor X. Nilipomaliza kazi zangu nikabonyeza lift ili niweze kushuka ground floor, kipindi naingia kwenye lift kuna mdada wa kibongo (alikuwa amevaa vizuri tu) alikuwa anashuka na humo ndani walikuwa wahindi wawili wanawake wamebana pua.
Mara ya kwanza nilifikiri labda wanabana pua zao kwasababu zao binafsi. kumbe sababu yao ilikuwa ni sisi waswahili tuliopanda ndani ya lift tulikuwa tunanuka!!!! Kwakweli nilijisikia vibaya sana, kwahiko kilichotokea.
Ninauhakika asilimia mia kabisa mimi na hata wale abiri wenzangu(waswahili) tulikuwa hatuniki hata kidogo ila ni ubaguzi uliopitiliza kwa hawa Washenzi wa kihindi. Kweli nipo kwenye ardhi yangu ya tanzania lakini bado nabaguliwa!!!!!??!!! Hawa watu ipo dawa yao inashemka tu, ipo siku watakuja kutuheshimu sisi waswahili.
Poleni sana watanzania wenzangu ambao hamumalizi siku moja bila ya kunyanyaswa na wahindi.
Kwanini hukuwshoji kisa cha kubehave hivyo?Natamani ningekuwa mimi, nimeishawakomesha wengi sana wenye tabia za kishenzi kama hao. Kuna wakati nilikuwa kwenye nchi moja ya ulaya , jamaa mmoja wa kizungu tuliepanda nae treni akawa ananifanyia mzaha wa kibaguzi, nilimtukana mpaka akakaa chini kwa aibu.
Cha ajabu ukiwa Ulaya, watu huwa hawaingilii ugomvi na watawatazama tu, cha zaidi watapiga simu polisi.
Kila myu=Kila mtu
Haijalishi kuna aliyekua ananuka au la ni tabia mbaya tena sana kubana pua ukiwa na binadamu wenzio...tena una adabu wewe mimi ningewasomesha...pumbavu..
Pole sana my nduguHabari,
Leo mida ya saa tisa hivi, nilikuwa Ahaad apartment(Morogoro rd/Libya street) floor X. Nilipomaliza kazi zangu nikabonyeza lift ili niweze kushuka ground floor, kipindi naingia kwenye lift kuna mdada wa kibongo (alikuwa amevaa vizuri tu) alikuwa anashuka na humo ndani walikuwa wahindi wawili wanawake wamebana pua.
Mara ya kwanza nilifikiri labda wanabana pua zao kwasababu zao binafsi. kumbe sababu yao ilikuwa ni sisi waswahili tuliopanda ndani ya lift tulikuwa tunanuka!!!! Kwakweli nilijisikia vibaya sana, kwahiko kilichotokea.
Ninauhakika asilimia mia kabisa mimi na hata wale abiri wenzangu(waswahili) tulikuwa hatuniki hata kidogo ila ni ubaguzi uliopitiliza kwa hawa Washenzi wa kihindi. Kweli nipo kwenye ardhi yangu ya tanzania lakini bado nabaguliwa!!!!!??!!! Hawa watu ipo dawa yao inashemka tu, ipo siku watakuja kutuheshimu sisi waswahili.
Poleni sana watanzania wenzangu ambao hamumalizi siku moja bila ya kunyanyaswa na wahindi.
Hili nalo neno!Labda walikuwa na sababu zao binafsi!We si unasema ulimkuta mdada kwenye lift?May b "alipumua" wakati hawajaingia.