Daffi Jr
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 3,825
- 906
Kwa hiyo unahalalisha kuwa Chadema ni chama cha WACHAGA?[/QUOTE)GAMBA GUMU REJAO
Kwa hiyo unahalalisha kuwa Chadema ni chama cha WACHAGA?[/QUOTE)GAMBA GUMU REJAO
Gamba ngumu RejaoWanachadema hao,,,endeleeni na mawazo hayo! <br />
Sisi tunasonga tu,
Nyiwi alekufundisha kichaka saa!
Naona kila siku watu wanaikimbia CDM,sawa sawa kabisa,.... mnasonga kuelekea kaburini, tena kwa kasi ya ajabu msiyoitarajia.<br />
<br />
Kumbe na wewe ni jobless!!
gazeti la uhuru na magamba ni mtu na baba yake-kwa hiyo habari kama hii si ya kushangaa-ndio maana hata leo bungeni kuna mbunge kasema kila chama kina magazeti yake-so hawa wapo pamojaHebu wadau linganisheni na habari hii ya gazeti la Uhuru
[h=2]Mbowe akata tamaa Arusha[/h] Wednesday, 10 August 2011 19:18 newsroom
* Amtwisha zigo Lema
* Yeye arejea hotelini
NA MWANDISHI WETU, ARUSHA
MIKUTANO midogo ya viongozi wa CHADEMA iliyofanyika jana jijini Arusha kwa lengo la kuwapaka tope madiwani wake waliovuliwa uanachama, imedorora baada ya kususiwa na wananchi. Jumatatu wiki hii, kamati kuu ya chama hicho, ilitangaza kuwafukuza uanachama madiwani Estomih Malla, John Bayo, Charles Mpanda, Reuben Ngowi na Rehema Mohammed. Chanzo cha wawakilishi hao wa wananchi kufukuzwa CHADEMA ni kushiriki katika mazungumzo na hatimaye kufikia muafaka kuhusu mvutano uliojitokeza kuhusu nafasi ya meya wa Jiji la Arusha. Mbinu ya mikutano midogo iliyoambatana na uzinduzi wa mashina ya uanachama na viongozi wa kitaifa kutembea kwa miguu, akiwemo Mwenyekiti wa Taifa wa chama hicho, Freeman Mbowe, ilianzia katika eneo la Mianzini na kuhudhuriwa na wananchi wachache.
Iliendelea katika eneo la Soko Kuu lililopo kata ya Kati, huku Mbowe akiwa mstari wa mbele, lakini mahudhurio ya wananchi yalikuwa hafifu.
Kutokana na mapokezi hayo, Mbowe alionekana wazi kukata tamaa na kumuachia shughuli hiyo mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema aendelee katika maeneo yaliyobaki na yeye kurejea hotelini. Lema aliendelea katika kata ya Levolosi na hali ikawa ile ile ya kususiwa na wananchi, vivyo hivyo katika Soko la Mbauda, Sanawari Mataa, Phillips, viwanja vya Soweto na Sombetini. Hata mikutano iliyofanywa na kamati maalumu iliyoongozwa na mbunge wa Nyamagana, Ezekia Wenje, haikufanikiwa kutokana na wananchi kuwasusia wakidai hawapendi vurugu zinazoendelezwa na Lema.
Mkutano uliofanyika katika viwanja mbele ya Hospitali ya Mtakatifu Thomas, uliowajumuisha viongozi hao chini ya Mbowe ulionekana kudorora, huku ukitawaliwa na kejeli kutoka kwa wananchi waliohudhuria.
Mikutano mingine ilifanyika katika kata za Kimandolu, Elerai na Sokon One, ambapo mahudhurio yalikuwa hafifu, licha ya viongozi kutembea kwa miguu katika baadhi ya maeneo ili kuwashawishi wananchi kuwafuata.
Katika eneo la Shule ya Sekondari Kimandolu, zilikuwepo dalili za vurugu kutokana na baadhi ya wananchi kuahidi kufanya fujo iwapo viongozi hao wangefika jambo lililosababisha wanafunzi kutokwenda shule.
Lema, katika hali ya kushangaza alitembea kwa miguu kutoka kituo kikuu cha polisi mjini hapa na ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha, ili kuwashawishi wananchi kumfuata lakini hakufanikiwa kwa kuwa kila mtu alikuwa na shughuli zake za kujitafutia riziki.
"Yeye (Lema) akitembea, akisimama au akikaa mshahara wake, posho zake viko pale pale, sasa mimi nikiacha biashara zangu nitapata wapi pesa, wabunge hawana shida bwana," alisema Sadick Mashauri, mwananchi aliyezungumza na gazeti hili kuhusu mikutano hiyo.
Aise yanginingya mambo yafye sana! Ngachidima eidea fwe! Wajamawo wa CDM manini!ewe rejao ccm yakuninga kyoki ro mmiku<br />
lakana na masembo a ccm mmiku
Daffi, usikimbilie sehemu ambapo unajua hupati msaada wowote!Gamba ngumu Rejao
Uhuru waongo leo watu walio kuwepo ni wengi mno kama watatofautiana na wale wa siku ya mazishi ni kidogo sana....Arusha ni ya chadema
Hapa uwanja wa nyumban Rejao,naomba kubali mabadilikoDaffi, usikimbilie sehemu ambapo unajua hupati msaada wowote!<br />
Wanajidai kuwa wakombozi lakini so far hawajafanya lolote!
Naona kila siku watu wanaikimbia CDM,
Walikuwa wanatarajia mengi kutoka CDM, lakini so far hakuna kitu CDM imefanya! Hamtafika 2015!
Daffi, usikimbilie sehemu ambapo unajua hupati msaada wowote!
Wanajidai kuwa wakombozi lakini so far hawajafanya lolote!
Mhhh!!!!!!!! ???????? kanusa nini.Sasa kuna wana CCM wanarudisha kadi hapa, akiwemo aliyekuwa mgombea udiwani kata ya Elerai, mjumbe wa UVCCM, nadhani mkoa, majina yao tutayaleta soon, na wengine wengi.
<br />Nyiwi alekufundisha kichaka saa!