Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,733
- 218,315
Kwa Mujibu wa Ratiba ambayo imetolewa na Chadema Kanda ya Nyasa , leo 28/02/2023 ni zamu ya Iringa Mjini, na ndio siku ambayo inaenda kuhitimisha awamu ya kwanza ya Mikutano hiyo kwenye Kanda hiyo.
Leo ndio siku ambayo Chama hicho kinaenda kutupa tathmini ya mwitikio wa wananchi kote kilikopita, Mkutano wa leo Iringa mjini, mji unaotajwa kama ngome imara ya Chadema ni Muhimu sana.
Hapa Iringa ndio mahali ambapo Serikali ya Awamu ya 5 Kwa kumtumia mtu anayeitwa Asas ilijaribu kumhonga Meya Kimbe zaidi ya Tsh mil 400 ili aunge mkono juhudi , hata hivyo mpango huo ulibuma , yaani Asas mtu ambaye bado Uraia wake tunauchunguza , eti ndio alikuwa kimbelembele kuibomoa Chadema Iringa ili amfurahishe Magufuli na kumpumbaza ili asifuatilie uharamia wake .
Sasa hapa hatutaki kusema mengi , bali tusubiri tu Hotuba za viongozi halafu tutarudi tena .
Kama kawaida , mimi Mwandishi wenu Erythrocyte nitawaletea yote yanayojiri, TULIANZA NA MUNGU TUTAMALIZA NA MUNGU .
Usiondoke JF
=========
UPDATES
Kwa umati uliojitokeza Iringa Mjini, hakuna shaka kwamba rekodi zote zimevunjwa
Hakika Chadema Ikiwa kweli Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi imepatikana basi bila shaka 2025 minyororo ya Utumwa inaenda kukatwa.
View attachment 2532909View attachment 2532914View attachment 2532915View attachment 2532918
Leo ndio siku ambayo Chama hicho kinaenda kutupa tathmini ya mwitikio wa wananchi kote kilikopita, Mkutano wa leo Iringa mjini, mji unaotajwa kama ngome imara ya Chadema ni Muhimu sana.
Hapa Iringa ndio mahali ambapo Serikali ya Awamu ya 5 Kwa kumtumia mtu anayeitwa Asas ilijaribu kumhonga Meya Kimbe zaidi ya Tsh mil 400 ili aunge mkono juhudi , hata hivyo mpango huo ulibuma , yaani Asas mtu ambaye bado Uraia wake tunauchunguza , eti ndio alikuwa kimbelembele kuibomoa Chadema Iringa ili amfurahishe Magufuli na kumpumbaza ili asifuatilie uharamia wake .
Sasa hapa hatutaki kusema mengi , bali tusubiri tu Hotuba za viongozi halafu tutarudi tena .
Kama kawaida , mimi Mwandishi wenu Erythrocyte nitawaletea yote yanayojiri, TULIANZA NA MUNGU TUTAMALIZA NA MUNGU .
Usiondoke JF
=========
UPDATES
Kwa umati uliojitokeza Iringa Mjini, hakuna shaka kwamba rekodi zote zimevunjwa
Hakika Chadema Ikiwa kweli Katiba mpya na Tume huru ya uchaguzi imepatikana basi bila shaka 2025 minyororo ya Utumwa inaenda kukatwa.
View attachment 2532909View attachment 2532914View attachment 2532915View attachment 2532918