Daffi Jr
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 3,825
- 906
Mwambie apeleke hoja ya kuwaletea maendeleo jimbon kwako,watoto wapate elimu nzuri,na nyie mpewe huduma za jamii na siyo kupeleka habari za chadema!Gamba gumu sana wewe!nitamueleza mbunge wangu apeleke hoja bungeni ili chama cha chadema kifutwe; kwasababu kinatishia amani ya nchi pia anampango wa kumuondoa madarakani rais aliyechaguliwa kidemokrasia kimabavu; hili ni kosa kwa mujibu wa katiba!