Leo ni leo huku kwetu Arusha (Mkutano wa CHADEMA)

na sisi madiwani tuliofukuzwa chadema tutafanya mambo yafuatayo:<br />
1. tutakwenda mahakamani kupinga udikteta uliofanywa na viongozi wa chadema kutufukuza chaguo la wana Arusha<br />
<br />
2. tutaandaa mkutano mkubwa jijini arusha ili kujibu mapigo ya mkutano wa leo pia kuwaeleza wananchi kinaga ubaga nini kinaendelea ndani ya chadema, na mchakato wa uchaguzi ulivyoenda na maovu yanayofanywa na Lema kuhujumu Arusha
<br />
<br />
Acheni unafiki!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom