Hakika leo ndo siku ambayo wazinzi wengi wanaamini kwamba sikukuu kwao haiwezi ikaisha hivi hivi bila kudaka malaya na kwenda kujipigia
Leo ndo siku ambayo wengi wanaenda kubeba UTI sugu na mimba sizizotarajiwa
Fanya ngono uwezavyo lakini kumbuka kwamba watu wanatumia vidonge vya kufubaza makali ya virusi vya HIV na huwezi kuwatambua kwa macho
Ukishindwa kabisa kuchukua malaya basi tumia kinga na wakati unaingia kwenye nyumba ya wageni na huyo mwenzi wako hakikisha haujalewa kiasi cha kutojitambua.
Linda afya yako mana afya ikiyumba kila kitu kinayumba
Ni ushauri tu, kuuchukua ama kuupuuza ni juu yako.
Leo ndo siku ambayo wengi wanaenda kubeba UTI sugu na mimba sizizotarajiwa
Fanya ngono uwezavyo lakini kumbuka kwamba watu wanatumia vidonge vya kufubaza makali ya virusi vya HIV na huwezi kuwatambua kwa macho
Ukishindwa kabisa kuchukua malaya basi tumia kinga na wakati unaingia kwenye nyumba ya wageni na huyo mwenzi wako hakikisha haujalewa kiasi cha kutojitambua.
Linda afya yako mana afya ikiyumba kila kitu kinayumba
Ni ushauri tu, kuuchukua ama kuupuuza ni juu yako.