Leo ITV habari kama kipindi maalumu

Leo ITV habari kama kipindi maalumu

Wamepiga dakika 15 zote ni magufuli tuuuui
Kwa kweli watangazaji wa leo yaani msoma hhabari na yule wa biashara walionekana kuwa na stress hadi wanatia huruma. Sijui nini kimewakuta
 
ni sahihi kwa ITV kufanya hivyo... Pia ni muhimu kusaifisha image yetu nje na ndani katika kuimarisha democrasia... yote ya yote tukumbuke mkuu ni mkuu.....
 
Kweli lazima heshima iwepo hongera Rais kuturudisha kenye mstari. Leo taarifa ya habari ITV kama kipindi malumu. Kumbe inaezekana kuwa na taarifa ya habari yenye tija kwa Taifa.
Ndugu yangu ingawa huwa kuna kadharau ambako huelekezwa kwa wanahabari, lakini ukweli ni kwamba hao jamaa wana akili nyingi mno. Ile taarifa kuwa "kama kipindi maalum" imeleta matokeo ambayo yanamvua nguo mtu!
 
Wamestukia mchezo, Barua ilishaanza kuandaliwa ya kuamriwa kituo cha ITV kuhamishiwa Loliondo wakaandike vizuri vurugu na maandamano ya Wafugaji dhidi ya Kamati ya Bunge kushinikiza wasiondolewe kwenye Hifadhi za Taifa. Hiyo ndiyo "SERIKALI YA MAGUFULI"
 
Mimi mchaga ndugu yangu na nitasema kweli daima fitina kwangu mwili! Unakumbuka ndugu yangu?
sasa huoni uovu wote wa unaempenda, be optmistic .ila always una sapoti ata akikosea
 
Walichofanya ITV ni sawa na kumridhisha mtoto kwa pipi.

Naangalia BBC swahili hapa naona anakosolewa sijui nao atawafungia
 
Hawa ndio Magu aliwapondea kua wanaongoza kwa kutaarifu makala ndefu ikitokea mauaji ya wakulima na wafugaji. Ha ha ha
Niliposikia tu hayo maneno jibu likaja fasta kwamba hata mkuu wa wilaya ya Arumeru kumweka ndani yule mwandishi wa ITV Halfani Lihundi lilikuwa ni agizo toka Ikulu.Ndio maana huyo DC kagomea pia wito wa bunge.Kazi tunayo awamu hii aise!!
 
Hawa ndio Magu aliwapondea kua wanaongoza kwa kutaarifu makala ndefu ikitokea mauaji ya wakulima na wafugaji. Ha ha ha
Niliposikia tu hayo maneno jibu likaja fasta kwamba hata mkuu wa wilaya ya Arumeru kumweka ndani yule mwandishi wa ITV Halfani Lihundi lilikuwa ni agizo toka Ikulu.Ndio maana huyo DC kagomea pia wito wa bunge.Kazi tunayo awamu hii aise!!
 
Wanachofanya hao ITV ni kutumia ile principle ya mtumikie 'kafir' upate mradi wako......

Hao jamaa najua wanamvutia pumzi tu......

Hebu tumuulize Magu, hivi suala la yule askari kutoa bastola yake hadharani na kumtishia nayo Mheshimiwa Nape yeye anaiona habari hiyo haikupaswa kuwa ni headline ya vyombo vya habari vya Leo?

Hivi haoni kama na Nape angereact hiyo Jana kungetokea umwagikaji wa damu?

Hivi Magu anafikiri TZ itakuwa nchi ya viwanda kwa kuwatumia maaskari wake kutumia silaha zao za moto kuwatishia raia wasio na hatia?
Ukisikia ngoma ina vuma sanaaa, inakaribia kupasuka.
 
Hongera JPM maana wandishi wa habari wasipo onywa ni hatari kubwa
 
Kuna jamaa ananunua picha ya Kinana atakayopigwa akiwa tz kuanzia leo mpaka wiki ijayo. Ni fursa kubwa kazi kwenu dau ni kubwa sana
 
Back
Top Bottom