Baada ya hapo wamewekwa kina Balile wakampiga vibaya.Wamepiga dakika 15 zote ni magufuli tuuuui
una miaka 10, ya kumuangalia dictator, ukipumzika hata miaka mitano sio mbaya.
Ha ha ha
Kwan TBC yenu haiwatosh au kwa vile halina mvuto kwa watu ndo mnataka mpewe kipaumbeke kwenye tvs za wanaume wakiowekeza tumbili weucKweli lazima heshima iwepo hongera Rais kuturudisha kenye mstari. Leo taarifa ya habari ITV kama kipindi malumu. Kumbe inaezekana kuwa na taarifa ya habari yenye tija kwa Taifa.
Kwahiyo inatusaidia nini sisi wa huku Mbekenyera?Kweli lazima heshima iwepo hongera Rais kuturudisha kenye mstari. Leo taarifa ya habari ITV kama kipindi malumu. Kumbe inaezekana kuwa na taarifa ya habari yenye tija kwa Taifa.
Unatisha sana, that's beyond out of the way!your point!??!!..
maana ni kama unasema raisi asikosolewe.
apa itakuwa ngumu kunielimisha maana ameipanda chuki kichwan kwangu.
i just pray he die soon.
Kweli lazima heshima iwepo hongera Rais kuturudisha kenye mstari. Leo taarifa ya habari ITV kama kipindi malumu. Kumbe inaezekana kuwa na taarifa ya habari yenye tija kwa Taifa.
kwa biti lile la BE CAREFUL..... WATCH IT nahisi kesho upepo utabadilika maana mmmhVipi kesho atapambwa front page nipashe na guardian?
ha ha Chama dola leo umeandika point halafu ww sio mtu wa mihemko kama kidada Coco Channel, au Elizaboniigp hii ni aibu!
Kulialia kuna kufanya uonekana childish and bratty!
Ahahaha!
Mtu mzima kulia kama mtoto kisa umenyima coverage,tena isiyoweza kukuondolea urais wako ni imbecility!
Ushawapa hawa media people weak points zako!
Kwa kuwa umelia leo,basi kesho watakunyima coverage ili ujinyonge...!
Na kesho kutwa uking'aka tena,watakupa coverage ili upoe!
Ukizubaa wataonyesha mikutano ya Lowasa!
Hit and run,unang'aka unapozwa! To infinito!
Mapenzi ya vitisho hayajawahi kudumu!
Sasa subiri kesho uone...
Avatar yako nimeipenda, lkn nimeshindwa kui-zoom ili niione vzuri.Tz ya ajabu sana!