Leo ITV habari kama kipindi maalumu

Leo ITV habari kama kipindi maalumu

Kweli lazima heshima iwepo hongera Rais kuturudisha kenye mstari. Leo taarifa ya habari ITV kama kipindi malumu. Kumbe inaezekana kuwa na taarifa ya habari yenye tija kwa Taifa.



Zinduka wewe kibwenye,TBCCM inayoripoti habari za chama na serikali tu imeshajenga viwanda vingapi hadi sasa?
 
Kweli lazima heshima iwepo hongera Rais kuturudisha kenye mstari. Leo taarifa ya habari ITV kama kipindi malumu. Kumbe inaezekana kuwa na taarifa ya habari yenye tija kwa Taifa.
Yenye tija kama..makontena yalikamatwa mara mbili?
 
Kuna jamaa ananunua picha ya Kinana atakayopigwa akiwa tz kuanzia leo mpaka wiki ijayo. Ni fursa kubwa kazi kwenu dau ni kubwa sana
Huwezi pata picha yake ya sasa hivi.
Mh. ameenda kwa matibabu nje ya nchi for 10 days.
Akirudi tutakupatia....contact zako pse.
 
Nyerere aliwahi kutuasa watanzania kwa katiba hii atakuja Kutokea rais mwendawazimu na kufanya mambo ya ajabu kabisa. Ndo kinachotokea sasa
 
Kenya ya Enzi ya Moi utasikia Mtukufu Rais kila ikianza taarifa ya habari hadi watoto wadogo kule kwetu Rombo walikuwa wanajua. Miaka hii kuna bado anataka filamu Zake zirushwe habari za msisimuko ziachwe
 
Niliposikia tu hayo maneno jibu likaja fasta kwamba hata mkuu wa wilaya ya Arumeru kumweka ndani yule mwandishi wa ITV Halfani Lihundi lilikuwa ni agizo toka Ikulu.Ndio maana huyo DC kagomea pia wito wa bunge.Kazi tunayo awamu hii aise!!
Sure Mkuu,
Sasa hivi naona ITV wana mdahalo hapa yupo Balile, nahofia Mkuu ataamka kesho na maamuzi mengine dhidi yao.
 
Unaangalia mishale ya kipima joto lakini?? Hahaha habari mnayo.. Madudu tunatumbua tu
 
Kweli lazima heshima iwepo hongera Rais kuturudisha kenye mstari. Leo taarifa ya habari ITV kama kipindi malumu. Kumbe inaezekana kuwa na taarifa ya habari yenye tija kwa Taifa.
Hukuelewa kitu.
Lengo lilikuwa kuweka kwenye kumbukumbu kauli za vitisho kwa wanahabari, ili muda utakapofika iwe ni ku recall tu.
 
Nyerere aliwahi kutuasa watanzania kwa katiba hii atakuja Kutokea rais mwendawazimu na kufanya mambo ya ajabu kabisa. Ndo kinachotokea sasa

Kuna Mambo ya Ajabu Kama ya 1980-1985 kila Bidhaa lazima ununue kwa kibali cha Mjumbe wa Nyumba 10?
 
sasa huoni uovu wote wa unaempenda, be optmistic .ila always una sapoti ata akikosea
Hakuna binadamu asiye na mapangufu! Kama mimi huwa na count my blessings, siangalii mabaya niliyo pitia, hayo ni mafunzo tu kwangu nisije nikarudia, sasa nitawezaje kuya hesabu mabaya na kubebea bango ya mwenzangu?
 
Mimi hapa namtazama kwa makini huyu mtangazaji. Namuona ana kitu cha ziada.
 
Sioni kama kinana atarudi huko alikotumwa akiwa sawa..sioni
 
Kuna Mambo ya Ajabu Kama ya 1980-1985 kila Bidhaa lazima ununue kwa kibali cha Mjumbe wa Nyumba 10?
Toa upuuzi wako hapa.ulimwengu wa mwaka 1980 unataka kulinganisha na leo 2017? Wakati wa Nyerere kila kitu nilikuwa ni bure
 
Hakuna binadamu asiye na mapangufu! Kama mimi huwa na count my blessings, siangalii mabaya niliyo pitia, hayo ni mafunzo tu kwangu nisije nikarudia, sasa nitawezaje kuya hesabu mabaya na kubebea bango ya mwenzangu?
your point!??!!..
maana ni kama unasema raisi asikosolewe.
apa itakuwa ngumu kunielimisha maana ameipanda chuki kichwan kwangu.
i just pray he die soon.
 
Back
Top Bottom