Leo ITV habari kama kipindi maalumu

Leo ITV habari kama kipindi maalumu

Subirin taarifa ya hbr iishe ndio mtoe tathmin nyie vp mbna mnarukia mambo
 
Kweli lazima heshima iwepo hongera Rais kuturudisha kenye mstari. Leo taarifa ya habari ITV kama kipindi malumu. Kumbe inaezekana kuwa na taarifa ya habari yenye tija kwa Taifa.
Hawa tangu awamu hii wako hivyo- hovyo wala sio kuwa wamenadilika leo. Tv za hovyo hii inaongoza baada ya TBCCM
 
Kweli lazima heshima iwepo hongera Rais kuturudisha kenye mstari. Leo taarifa ya habari ITV kama kipindi malumu. Kumbe inaezekana kuwa na taarifa ya habari yenye tija kwa Taifa.
Yote yalionekana mchana! Bora wamerudia
 
Aisee nimeamini vyombo vya habari vinaweza kuamua kukuua huku ukiona.
Maneno aliyoyaongea leo ni pigo kubwa sana kwake na nadhani hata yeye hakutaka maneno hayo yaliyokuwa kwenye hotuba yapewe kipaumbele kwenye habari. Lkn wana habari waliamua kuchukua hotuba yake na kuipa kipaumbele lkn ukiangalia ilikuwa ni hbr ya kumuua.
Hawa wahariri wameamua kumuanika na kesho watamuanika vzr. Achan na wahariri wabobezi
 
Mimi hao siwaangalii tena Niko Azam TV wanajitahidi hameni huko.
 
Ktk maneno yake yote alozungumza leo kwenye hafla nimependa aliposema vyombo vya hbr vitumie kalamu zake vema la sivyo kalam hzo zinaweza kusababisha tz isiwe mahali salama na nyie waandishi hamtakuja salama ok nimenukuu hii nimependa
 
Ukweli watanzania hatujui tunataka nini tutaishia kudandia matukio kila uchwao.

JPM yuko sahihi sana hatuwezi kuwa na viongozi wanaotumika mfano ishu ya Steve nyerere na Mama wema ile clip ina uozo ambao kwa mtu mwenye akili kuusikia ni usaliti kwa serikali.

Nape hafai kuwa waziri ama mbunge, hafai kuwa hata msemaji wa tarafa kwa sasa siasa zimebadilika na yeye ameshindwa kukumbuka aliyowafanyia watanzania mwaka 2015. Leo hii anahitaji huruma ya vyombo vya habari
 
Hapo sio rahisi kuangamia. ....ila wamemvua nguo
 
chotera na siku akiwa hana habari,wasipomuonyesha ila wakannyesha maandano ya wakulima,atawafanyaje?
Kama mtu anaumia kwa kutokuandikwa for a day,hivi huyu asipoandikwa for a week si atapararalaizi!
Ahahaha!dah
Rais wangu achana na hizi petty issues!
 
JPM analazimishwa aonyeshwe kwenye Tv na magazetini----haya ni zaidi ya maigizo
 
chotera na siku akiwa hana habari,wasipomuonyesha ila wakannyesha maandano ya wakulima,atawafanyaje?
Kama mtu anaumia kwa kutokuandikwa for a day,hivi huyu asipoandikwa for a week si atapararalaizi!
Ahahaha!dah
Rais wangu achana na hizi petty issues!
Jamaa yako anataka vyombo vya habari vyote viweke mambo ya serikali tu
 
Back
Top Bottom