Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 17,815
- 33,486
tunapoelekea hata Miziki itapigwa marufuku kuonyeshwa kwenye TV
Rais amemtuma Kinana kutibiwa India. Muda sio mrefu nadhan atamwagiza kupona
JinyongeMme tuchosha na mamboyasiyoletamaendeleo,TV tokalini ikajenga viwanda tumechoka na mambo ya MAGUFULI he!
Magu yeye ni kudeal na vyombo vya habari,mitandao ya kijamii na timua timua!Chadema Wao wanatoa Matamko tu sijui yame fika mangapi mpk Leo.. Asante magufuli
Me too!Mimi nimeamua kuangalia Enews kuliko kumuangalia Dictator.. ...
Na bado ndo hao ambao huwa wanakuwa na vipindi maakumu aka 'makala ya raisi'. Kweli bin adam hana shukurani!Hawa ndio Magu aliwapondea kua wanaongoza kwa kutaarifu makala ndefu ikitokea mauaji ya wakulima na wafugaji. Ha ha ha
Thinking outside the box mnh... I like that. Eti kiongozi anatishia genocide watz Kuna sehemu tulimkosea mungu ila itatucostAisee nimeamini vyombo vya habari vinaweza kuamua kukuua huku ukiona.
Maneno aliyoyaongea leo ni pigo kubwa sana kwake na nadhani hata yeye hakutaka maneno hayo yaliyokuwa kwenye hotuba yapewe kipaumbele kwenye habari. Lkn wana habari waliamua kuchukua hotuba yake na kuipa kipaumbele lkn ukiangalia ilikuwa ni hbr ya kumuua.
Hawa wahariri wameamua kumuanika na kesho watamuanika vzr. Achan na wahariri wabobezi
Uchwara eeeh, kama kweli uchwara we jitokeze hadharani uimbe huo wimbo. Unajificha nyuma ya jf kusema jamaa ni uchwara...Kumbe tupo wengi. Dictator uchwara.
sijaangali leo ngoja nitafuatilia asubuhiWamepiga dakika 15 zote ni magufuli tuuuui
Kupenda vitu vya Mwanaume mwenzio, Mmmh....!Mimi nimeamua kuangalia Enews kuliko kumuangalia Dictator.. ...
Upo?Mimi nimeamua kuangalia Enews kuliko kumuangalia Dictator.. ...