Andre-Pierre
JF-Expert Member
- Nov 4, 2019
- 328
- 1,208
Leo ni alhamisi , huwa tunakumbuka mambo ya zamani kidogo. Mnalikumbuka Bunge la Spidi na Viwango chini ya uongozi wa Spika Marehemu Sitta?
Hebu leo tuwakumbuke wabunge waliokuwa machachari kwenye kuibua hoja zenye maslahi mapana ya Taifa.
Wabunge hao ni wale waliokuwepo katika uongozi wa Spika Samwel Sitta. Tukumbushane baadhi ya mikasa ya Bunge lile ambayo ilikuwa gumzo miaka ile.
Karibuni sana...
Hebu leo tuwakumbuke wabunge waliokuwa machachari kwenye kuibua hoja zenye maslahi mapana ya Taifa.
Wabunge hao ni wale waliokuwepo katika uongozi wa Spika Samwel Sitta. Tukumbushane baadhi ya mikasa ya Bunge lile ambayo ilikuwa gumzo miaka ile.
Karibuni sana...