Hili pekee ndilo tatizo kubwa la kuwa na mwenza mwenye mtoto hasa kwa mwanamke.
Kama ana sifa zote ila mzazi mwenzake ni pasua kichwa, utapata shida sana mkuu! sisemi umuache lakini ni vyema kuhakikisha haya kabla hujaamua kuwa naye katika ndoa.
Nimependa hiyo BOLDED sentence.
Hapo ITALICS hapo ndipo kwenye changamoto kubwa though, na simaanishi haiepukiki, ila ni lazima ishughulikiwe kabla ya kuingia katika ndoa.
Uwiiiii
jje's natumai hapo hujaamisha ikitiki mimba! Mwanaume yeyote, rudia, yeyote asikudanganye eti ushike mimba ndo aje kukuoa. Kama anaona unafaa kuwa mama wa mwanaye ila hayuko tayari kukuoa jua unapigwa changa la macho.
Kisingizio kikubwa nimekisikia siku hizi ni vijana kusema wanaogopa kuuziwa mbuzi kwenye gunia, nami nakubaliana na hili. Akitaka kuthibitisha hilo nendeni hospitali mkapime - na yeye apime kabisa sperm count na nguvu zake. zaidi ya hapo ni kudra za mwenyezi Mungu. Ni wangapi tunasikia wanashika mimba ikifika miezi minne inatoka? So uwezo wa kushika mimba sio kigezo cha ndoa aisee.
Dada yangu hapa nilipo natamani uje uniambie kuwa hukumaanisha nilichokielewa la sivyo na wewe muda mchache tutakukuta humu kwenye thread.
Nakuthibitishia wanaume sampuli ya Messi wako 1 kati ya milioni!!!! [HASHTAG]#usijaribu[/HASHTAG].