Leo hii ndo nimekata tamaa rasmi kuoa

Leo hii ndo nimekata tamaa rasmi kuoa

The thing is hivi vitu havifanani hata tuvifananishe vipi, kuwa na mahusiani na mtu na kuzaa na mtu ni vitu viwili tofauti kabisa.
Waliozaa tayari hao ni wazazi na wana bond ya milele no mater what, ambae ni mtoto. Kwahiyo hawawezi eti kuamua tu wasiwasiliane na wakati wana mtoto anayehitaji malezi yao wote wawili.
Na sio wote waliozaa wana mawasiliano na waliowazalisha. Nilichozungumzia hapo ni kuona kwamba wanaoweza kuwasiliane ni wale waliozaa pekee na kutofautisha mahusiano mengine
 
Its about time wanawake tuwe na controll ya miili yetu na maisha yetu na tuache kuwalaumu wanaume kwa makosa yetu.
Hayo ni maamuzi tu kama ambavyo mwanamke unaweza kumkataa fulani na ukamkubali fulani kwasababu ambazo unazijua wewe na unajua ni kwa mstakabali wa maisha yako.
Sidhani kama kuna mahali ninalaumu wanaume. Kila binadamua ana maamuzi yake na hawezi kulazimishwa kufanya kitu ambacho hakitaki.
 
Kwanza kabisa eee Mungu nisamehe dhambi ya kumzalisha dada wa watu mwaka 2010. Pia ingawa aliolewa kwa yeye mwenyewe kukosa subira kutokana na mimi kuwa na safari ndefu ya kusoma, licha ya kumsihi sana.

Huku Cambodia nimebahatika kukutana na wa Njombe mwenzangu(Mtanzania I mean) ni wife material haswaa.

Bond ikakubali, chemistry ni ya hali ya Juu.Yani ndo aina ya mke nilikuwa namtafuta, yani pamoja na mimi kutakiwa kumpenda ila yeye pia anatakiwa awe zaidi ya mama kwani nayajua niliyopitia mie.

Masikini nimegundua ana mtoto tayari ingawa anajitahidi kuficha ili tufikie adhma yetu. Yani moyo wangu umeumia sana, ingawa nami nina mtoto.
ukweli wa Mungu nafsi yangu haipo tayari kuoa mtu aliye na mtoto tayari.

NIMEKATA TAMAA, SIELEWI NIFANYE NINI?

Na demand ya kuoa ipo sana sana kwani umri nao si rafiki.

Akili imevurugika kabisa. Ama kweli ng'ombe wa masikini hazai.
Wewe unashangaza sana. Mbona mwenzio kaoa uliyezaa naye???
Kama yuko poa oa tyuu maana yawezekana ndo bahati yako hiyo.
 
Leo naona kila mtu ana-support kuoa mwanamke mwenye mtoto.
Ila kiuhalisia siyo,hao hao ndiyo baadaye wanakucheka na kukunyooshea,kiufup kuoa Mwanamke mwenye Mtoto haipendez kabisa na unaleta dosari kwenye family yako,Mwanaume wa ukwel hawez fanya hilo,labda aolewe au awe kimaslah kwa mke wake
 
Mkuu na wewe si una mtoto umesema?
Mimi naona usijifungie milango kabisa.
Kama unaona moyo wako una amani nae, mimi naona jitose tu kwake, mtengeneze maisha.

Kukata tamaa ni wasifu wa shetani na mawakala wake. Usikate tamaa.
 
Post ulioni-quote nimeandika wengi wnaogopa complications. Sio lazima uchepuke or whatever, the whole idea ya wewe kuwasiliana na baba mtoto (kuhusu mtoto, si kwa mengine) watu wengi hawako comfortable na hali hio.
Kama unajisemea wewe usingesema scenario yangu ni uongo, kuna wengi tu wanaangukia humo na sikukutaja wewe.
Thats why nkajisemea mie
 
Hao masingle mama mnao wakataa wanashida gani?
Ina maana hao watoto wamekuwa laana kiasi hicho?

Ina maana mtoto ni kikwazo kwako kuoa?

Na upande wa pili wadada wengine wanakataa watoto wenye watoto lakin kwa wadada ni wachache sana wanao kataa.

Nashindwa elezea nisemeje hapa kwa ufupi Mungu haangalii hao watoto kama wengine wanavyo angalia

Hao watoto waliachwa kwa mama zao, ni watoto ambao Mungu anawasikia kuliko kawaida, dhambi ya mama mtu isikufanye ukamuacha mtoto ukaona labda ukipata asiye na mtoto mtakuwa vzr.

Hao watoto wanaletaga baraka mno ndani ya familia kama ukijua kumtunza vizuri bila manyanyaso, Mungu atakufungulia mlango kupitia huyo mtoto kuliko hata watoto wako binafsi wakati mwingine.

Nimeona watoto wa aina hiyo mama zao wanapo olewa na baba akampenda mtoto, au baba anapo oa na mama wa kambo akampenda mtoto, kuna baraka kama huamini tafuta family inayo tenga watoto wa kambo huwa hawabaki salama.

Mnapo weka akilini mimi sioi mtu mwenye mtoto au siolewi na mwanaume mwenye watoto, huwez jua baraka zako zipo wapi kila mtu.ana mlango wa kumtoa afike katk mahal ambapo Mungu alipo muandalia, inakuwaje kama ni huyo single mama kupitia mtoto.wake ndipo baraka zako zilipo

Msipende kujifungia ndani ya box. Mungu hana ubaguzi mnao ufanya baadhi ya watu.

All single mama na single dad. Mungu awape nguvu ya kulea watoto wenu na Mungu awape watu sahihi.ambao sio wabaguzi
Kama povu vile lakini ujumbe mzuri. Single mothers poleni
 
Kwanza kabisa eee Mungu nisamehe dhambi ya kumzalisha dada wa watu mwaka 2010. Pia ingawa aliolewa kwa yeye mwenyewe kukosa subira kutokana na mimi kuwa na safari ndefu ya kusoma, licha ya kumsihi sana.

Huku Cambodia nimebahatika kukutana na wa Njombe mwenzangu(Mtanzania I mean) ni wife material haswaa.

Bond ikakubali, chemistry ni ya hali ya Juu.Yani ndo aina ya mke nilikuwa namtafuta, yani pamoja na mimi kutakiwa kumpenda ila yeye pia anatakiwa awe zaidi ya mama kwani nayajua niliyopitia mie.

Masikini nimegundua ana mtoto tayari ingawa anajitahidi kuficha ili tufikie adhma yetu. Yani moyo wangu umeumia sana, ingawa nami nina mtoto.
ukweli wa Mungu nafsi yangu haipo tayari kuoa mtu aliye na mtoto tayari.

NIMEKATA TAMAA, SIELEWI NIFANYE NINI?

Na demand ya kuoa ipo sana sana kwani umri nao si rafiki.

Akili imevurugika kabisa. Ama kweli ng'ombe wa masikini hazai.
Kwani akiwa na mty shida iko wapi
 
Na sio wote waliozaa wana mawasiliano na waliowazalisha. Nilichozungumzia hapo ni kuona kwamba wanaoweza kuwasiliane ni wale waliozaa pekee na kutofautisha mahusiano mengine
Huna mawasiliano na baba wa mtoto amefariki au umeamua tu kumnyima mtoto haki ya kumuona baba yake?!
 
Mimi jamani ni single ma lakini sijui najiona kigori sijuti simfichi mwanangu wala sijuti kuzaa lol hata wanaume wote wangesema hawataki single mo mimi bado nitaendelea kulinga maana sina tofauti na hao vigori haaaaa proudly me hollla to all single mom najua kila mti kwa muda tutapata waume wasiowabinafsi na selective wanaoangalia upendo na sio lingine
Nini kilisababisha u-single mama wako, if I may ask!??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom