Leo hii ndo nimekata tamaa rasmi kuoa

Leo hii ndo nimekata tamaa rasmi kuoa

Mkuu ni kweli umri umekutupa mkono mmmmh mbona kama still unaakili za kitoto.

Maana kama umri umekutupa mkono kama unavyo tupasha uwezi kataa kuua kwa sababu tu wandani wako ana mtoto hiyo sio sababu fikirishi na yenye mantiki kwa kusema utaki mke kwa sababu ana mtoto

embu jitathimin bhana acha kuzingua
Ndiyo Mkuu kimahesabu umri unanikimbia japo sipo aged sn.
Nashukuru Kwa ushauri wako, na ndicho nachowaza Kwa sasa.
 
Kama umesema yuko vizuri na ni aina ya mwanamke uliekuwa unamhitaji sasa kuwa na mtoto ndo iwe shida jamani? Kama kakidhi vigezo kuwa na mtoto sio shida kabisa na single mother wengi wanajielewa! Unaweza pata huyo asiekuwa na mtoto ndo pasua kichwa sasa hapo sijui ndo maisha utayafurahia!?
Sawa nimekuelewa,asante sana
 
uko bombadia sijua kambodia weww wanapoteza muda tu! mtoto tu ndo umeshidwa kuoa au umeshidwa majukmu??
 
tuambiane tu ukweli wala tusifichane mwanamke akisha zaa na mwanaume mwingine hata ukiwa nae kuna muda roho inauma tu yaani inauma tu kwamba kuna mtu kabla yangu kapafaidi na mtoto juu dah kapatiwa. na itokee umpata ambaye njia iligoma kurudi vizuri mbona utakumbuka mnato wa vigoli. japo kuna single mother mmoja namuelewa sana ila tukiwa faragha sipati raha kama ninavyokuwa na binti ambaye hajazaa wala kutumika sana. yote kwa yote nao wanastaili kupendwa na hata kuolewa ikibidi
 
Weka sababu ya msingi kwann hutaki mwanamke alie na mtt?
 
Hao masingle mama mnao wakataa wanashida gani?
Ina maana hao watoto wamekuwa laana kiasi hicho?

Ina maana mtoto ni kikwazo kwako kuoa?

Na upande wa pili wadada wengine wanakataa watoto wenye watoto lakin kwa wadada ni wachache sana wanao kataa.

Nashindwa elezea nisemeje hapa kwa ufupi Mungu haangalii hao watoto kama wengine wanavyo angalia

Hao watoto waliachwa kwa mama zao, ni watoto ambao Mungu anawasikia kuliko kawaida, dhambi ya mama mtu isikufanye ukamuacha mtoto ukaona labda ukipata asiye na mtoto mtakuwa vzr.

Hao watoto wanaletaga baraka mno ndani ya familia kama ukijua kumtunza vizuri bila manyanyaso, Mungu atakufungulia mlango kupitia huyo mtoto kuliko hata watoto wako binafsi wakati mwingine.

Nimeona watoto wa aina hiyo mama zao wanapo olewa na baba akampenda mtoto, au baba anapo oa na mama wa kambo akampenda mtoto, kuna baraka kama huamini tafuta family inayo tenga watoto wa kambo huwa hawabaki salama.

Mnapo weka akilini mimi sioi mtu mwenye mtoto au siolewi na mwanaume mwenye watoto, huwez jua baraka zako zipo wapi kila mtu.ana mlango wa kumtoa afike katk mahal ambapo Mungu alipo muandalia, inakuwaje kama ni huyo single mama kupitia mtoto.wake ndipo baraka zako zilipo

Msipende kujifungia ndani ya box. Mungu hana ubaguzi mnao ufanya baadhi ya watu.

All single mama na single dad. Mungu awape nguvu ya kulea watoto wenu na Mungu awape watu sahihi.ambao sio wabaguzi
 
Wadada wenye watoto/mtoto wanajua 'kukea' hao...
 
Leo naona kila mtu ana-support kuoa mwanamke mwenye mtoto.
 
Sina nia mbaya na dada zangu hawa Mkuu na wala sijawakashfu hapana.

Ni nafsi tu vile inavyonituma.

Nawaheshimu sana.

Ila ktk hili moyo umevunjika vunjika kabisa.
Ha ha ha ila wewe kuna mmoja umemzalisha ukamuacha, mwanaume mwenzio kaoa.
 
DEVINE... wengu hawapendi complications zinazoletwa na aina hii ya uhusiano. Kama baba wa mtoto yuko hai bond yao haiwezi kuvunjika kamwe. Mama kwa namna moja au nyingine lazima amshirikishe baba kwenye malezi ya mtoto.
 
Hao masingle mama mnao wakataa wanashida gani?
Ina maana hao watoto wamekuwa laana kiasi hicho?

Ina maana mtoto ni kikwazo kwako kuoa?

Na upande wa pili wadada wengine wanakataa watoto wenye watoto lakin kwa wadada ni wachache sana wanao kataa.

Nashindwa elezea nisemeje hapa kwa ufupi Mungu haangalii hao watoto kama wengine wanavyo angalia

Hao watoto waliachwa kwa mama zao, ni watoto ambao Mungu anawasikia kuliko kawaida, dhambi ya mama mtu isikufanye ukamuacha mtoto ukaona labda ukipata asiye na mtoto mtakuwa vzr.

Hao watoto wanaletaga baraka mno ndani ya familia kama ukijua kumtunza vizuri bila manyanyaso, Mungu atakufungulia mlango kupitia huyo mtoto kuliko hata watoto wako binafsi wakati mwingine.

Nimeona watoto wa aina hiyo mama zao wanapo olewa na baba akampenda mtoto, au baba anapo oa na mama wa kambo akampenda mtoto, kuna baraka kama huamini tafuta family inayo tenga watoto wa kambo huwa hawabaki salama.

Mnapo weka akilini mimi sioi mtu mwenye mtoto au siolewi na mwanaume mwenye watoto, huwez jua baraka zako zipo wapi kila mtu.ana mlango wa kumtoa afike katk mahal ambapo Mungu alipo muandalia, inakuwaje kama ni huyo single mama kupitia mtoto.wake ndipo baraka zako zilipo

Msipende kujifungia ndani ya box. Mungu hana ubaguzi mnao ufanya baadhi ya watu.

All single mama na single dad. Mungu awape nguvu ya kulea watoto wenu na Mungu awape watu sahihi.ambao sio wabaguzi
Be blessed
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom