Leo hii ndo nimekata tamaa rasmi kuoa

Leo hii ndo nimekata tamaa rasmi kuoa

Kwanza kabisa eee Mungu nisamehe dhambi ya kumzalisha dada wa watu mwaka 2010. Pia ingawa aliolewa kwa yeye mwenyewe kukosa subira kutokana na mimi kuwa na safari ndefu ya kusoma, licha ya kumsihi sana.

Huku Cambodia nimebahatika kukutana na wa Njombe mwenzangu(Mtanzania I mean) ni wife material haswaa.

Bond ikakubali, chemistry ni ya hali ya Juu.Yani ndo aina ya mke nilikuwa namtafuta, yani pamoja na mimi kutakiwa kumpenda ila yeye pia anatakiwa awe zaidi ya mama kwani nayajua niliyopitia mie.

Masikini nimegundua ana mtoto tayari ingawa anajitahidi kuficha ili tufikie adhma yetu. Yani moyo wangu umeumia sana, ingawa nami nina mtoto.
ukweli wa Mungu nafsi yangu haipo tayari kuoa mtu aliye na mtoto tayari.

NIMEKATA TAMAA, SIELEWI NIFANYE NINI?

Na demand ya kuoa ipo sana sana kwani umri nao si rafiki.

Akili imevurugika kabisa. Ama kweli ng'ombe wa masikini hazai.
He who comes to equity must come with clean hands, unataka asiye na mtoto wakati wewe unaye?
 
Kwanza kabisa eee Mungu nisamehe dhambi ya kumzalisha dada wa watu mwaka 2010. Pia ingawa aliolewa kwa yeye mwenyewe kukosa subira kutokana na mimi kuwa na safari ndefu ya kusoma, licha ya kumsihi sana.

Huku Cambodia nimebahatika kukutana na wa Njombe mwenzangu(Mtanzania I mean) ni wife material haswaa.

Bond ikakubali, chemistry ni ya hali ya Juu.Yani ndo aina ya mke nilikuwa namtafuta, yani pamoja na mimi kutakiwa kumpenda ila yeye pia anatakiwa awe zaidi ya mama kwani nayajua niliyopitia mie.

Masikini nimegundua ana mtoto tayari ingawa anajitahidi kuficha ili tufikie adhma yetu. Yani moyo wangu umeumia sana, ingawa nami nina mtoto.
ukweli wa Mungu nafsi yangu haipo tayari kuoa mtu aliye na mtoto tayari.

NIMEKATA TAMAA, SIELEWI NIFANYE NINI?

Na demand ya kuoa ipo sana sana kwani umri nao si rafiki.

Akili imevurugika kabisa. Ama kweli ng'ombe wa masikini hazai.

Acha ubinafsi huyo uliomzakisha ww na yy asiolewe? Oa tu
 
kwa ss wenye nia na kuoa cjua kama tutafanikiwa kwa kwel,
coz kama walio wengi wana watoto, itakuaje sasa????
 
Kwanza kabisa eee Mungu nisamehe dhambi ya kumzalisha dada wa watu mwaka 2010. Pia ingawa aliolewa kwa yeye mwenyewe kukosa subira kutokana na mimi kuwa na safari ndefu ya kusoma, licha ya kumsihi sana.

Huku Cambodia nimebahatika kukutana na wa Njombe mwenzangu(Mtanzania I mean) ni wife material haswaa.

Bond ikakubali, chemistry ni ya hali ya Juu.Yani ndo aina ya mke nilikuwa namtafuta, yani pamoja na mimi kutakiwa kumpenda ila yeye pia anatakiwa awe zaidi ya mama kwani nayajua niliyopitia mie.

Masikini nimegundua ana mtoto tayari ingawa anajitahidi kuficha ili tufikie adhma yetu. Yani moyo wangu umeumia sana, ingawa nami nina mtoto.
ukweli wa Mungu nafsi yangu haipo tayari kuoa mtu aliye na mtoto tayari.

NIMEKATA TAMAA, SIELEWI NIFANYE NINI?

Na demand ya kuoa ipo sana sana kwani umri nao si rafiki.

Akili imevurugika kabisa. Ama kweli ng'ombe wa masikini hazai.
Kaa chini utulize akili sawa ee!
 
Upo Cambodia ya wapii!!?, ni hii iliyo hapa Afrika sana karibu na kangaroo au??
 
DAH WATU WENGINE BWANA....

WE SI UMEZALISHA MPAKA UMRI HUO????

SASA VIPI USEME HUTAKI MKE MWENYE MTOTO NA ILHALI WE MWENYEWE UMEZALISHA
 
Mimi nilifikiri ulimkuta na ARV's ni muathirika kumbe ana mtoto. Mkuu you need to grow up seriously.

Anachekesha, we unadhani uliyemzisha ulitaka aolewe na nani? Kama kuns mtu kamuoa kwanini wewe usioe huyo? Grow up!!
 
Kwanza kabisa eee Mungu nisamehe dhambi ya kumzalisha dada wa watu mwaka 2010. Pia ingawa aliolewa kwa yeye mwenyewe kukosa subira kutokana na mimi kuwa na safari ndefu ya kusoma, licha ya kumsihi sana.

Huku Cambodia nimebahatika kukutana na wa Njombe mwenzangu(Mtanzania I mean) ni wife material haswaa.

Bond ikakubali, chemistry ni ya hali ya Juu.Yani ndo aina ya mke nilikuwa namtafuta, yani pamoja na mimi kutakiwa kumpenda ila yeye pia anatakiwa awe zaidi ya mama kwani nayajua niliyopitia mie.

Masikini nimegundua ana mtoto tayari ingawa anajitahidi kuficha ili tufikie adhma yetu. Yani moyo wangu umeumia sana, ingawa nami nina mtoto.
ukweli wa Mungu nafsi yangu haipo tayari kuoa mtu aliye na mtoto tayari.

NIMEKATA TAMAA, SIELEWI NIFANYE NINI?

Na demand ya kuoa ipo sana sana kwani umri nao si rafiki.

Akili imevurugika kabisa. Ama kweli ng'ombe wa masikini hazai.
kwenda hukooooooooooooooooooooo
nilitaka kuongeza neno lingine nikakuoneaaa huruma sana mkuuu .............
Uliyemzalisha na kumuacha unahisi ataolewa na nani? ashukuriwe Mungu ameolewa kwa hiyo wewe chukua mtoto acha kuwaza kuwa huwezi kuoa aliyezaa angali ulishazalisha na kuacha

nimechukia sana, laiti ningeweza kutumia ungo ningekufuata uliko nikuzabe kofi

nimechukia tu teh teh
 
Mkuu ni kweli umri umekutupa mkono mmmmh mbona kama still una akili za kitoto.

Maana kama umri umekutupa mkono kama unavyo tupasha uwezi kataa kuoa kwa sababu tu wandani wako ana mtoto hiyo sio sababu fikirishi na yenye mantiki kwa kusema utaki mke kwa sababu ana mtoto

embu jitathimini bhana acha kuzingua
anazingua sana huyu mkuu, hebu mwambie aache kuzinguaaa
 
Single mama shida mnayo hadi single father/wazazi wenzenu wanawanyanyapaaa mtaaimba halelujaaa...!
 
Ila tuongee tubakize mwanamke km unataka kuolewa chunga kuzaa bila ndoa, utabakia kubahatisha kupata ndoa km mchezo wa tatu mzuka..
hahahahahahah makubwaaaa
haya nimekusikia duuuuh
kwani wanaozalisha hawalijui hili jaman? kwani tunazaa wenyewe? muwe na huruma wajameni
 
hahahahahahah makubwaaaa
haya nimekusikia duuuuh
kwani wanaozalisha hawalijui hili jaman? kwani tunazaa wenyewe? muwe na huruma wajameni
Ndiyo hivyo na ijulikane, ukizaa ujue pia kupambana na khali yako..! Athari nyingi ziko upande wenu so be careful wadada.
 
Ndiyo hivyo na ijulikane, ukizaa ujue pia kupambana na khali yako..! Athari nyingi ziko upande wenu so be careful wadada.
duuuh uzuri mie nimeshakamatia wangu na ameniahidi ikitiki ananichukua mazima wala nisihesabu visude

teh teh
 
duuuh uzuri mie nimeshakamatia wangu na ameniahidi ikitiki ananichukua mazima wala nisihesabu visude

teh teh
Mbona unanifanyia unyama hivi yaani unaniambia hadharani kuwa unaliwa...[emoji28][emoji22][emoji28][emoji22][emoji28][emoji22]
 
Kambodia!!!? mnatafuta nini huko? yaani wabongo mmekwisha kuwa iguu na njia kama wakenya?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom