Leo hii ndo nimekata tamaa rasmi kuoa

Leo hii ndo nimekata tamaa rasmi kuoa

Anakuwaje mke wa mtu au kuzaa ndio umehalalisha. Je hao ambao hawajazaa na waliwahi kuwa na wanaume kibao unawaweka kundi gani.

Hata huyo ambaye hana mtoto akiamua kuendeza mapenzi yake na wanaume wazamani anaweza sio kuwa na wasiwasi kwa walio na watoto hiyo ni dhana imewekwa lakini sio kweli.
upo sahihi,, lakini kuoa mtu mwenye mtt wa mtu mwingine ni risk sana, at any time mschana anaweza peleka mzgo kwa aliyemzalisha,u knw mtoto ni kitu kinachoweza waconnect watu kirahs sana,ktka maisha yangu, i will never.
 
Unaweza kumuacha mwenye mtoto...ukaoa kigoli...Mara paap mgumba hazai..hapo ndo utakapojuta zaidi mkuu
 
sema haupo tayari kuoa mwanamke mwenye mtoto aliye HAI, u prefer mwanamke mwenye watoto WAFU
 
kwa upande wangu nilimaanisha hivyo mkuu, tumekubaliana na mimi nimeridhia
akinitema sawa tu mie sitakuja lalamika maana nimekubaliana na hali halisi
Unasema hivi sasa ila baadae it wont be the same. Hebu mfikirieni huyo mtoto kwanza kabla ya kujifikiria ninyi kwanza.
 
Yaani wanaume bana!!

wee una mtoto hafu hutaki mwenzio awe na mtoto!!

Acha ubinafsi ndugu!!!

ungekuwa huna mtoto sawa.

Hivi kwanini wanaume nyie mnazaa hafu hamtaki waliozaa?? Hao mliowazalisha mnataka wawe nyumba ndogo zenu??
Kuna kitu naanza kuwaelewa wanaume sababu ya mambo kadhaa niliyoyashuhudia yakiendelea.
Alafu pia ile ya kuchanganya sana familia maybe pia inakuwa ni hofu yao, maana kunakuwa tayari kuna makundi matatu ya watoto ktk familia moja.
 
Anakuwaje mke wa mtu au kuzaa ndio umehalalisha. Je hao ambao hawajazaa na waliwahi kuwa na wanaume kibao unawaweka kundi gani.

Hata huyo ambaye hana mtoto akiamua kuendeza mapenzi yake na wanaume wazamani anaweza sio kuwa na wasiwasi kwa walio na watoto hiyo ni dhana imewekwa lakini sio kweli.
The thing is hivi vitu havifanani hata tuvifananishe vipi, kuwa na mahusiani na mtu na kuzaa na mtu ni vitu viwili tofauti kabisa.
Waliozaa tayari hao ni wazazi na wana bond ya milele no mater what, ambae ni mtoto. Kwahiyo hawawezi eti kuamua tu wasiwasiliane na wakati wana mtoto anayehitaji malezi yao wote wawili.
 
Wanaume bwana hataki single mother lakini ana mwanamke kamzalisha sielewi hutaki nini na unafanya nini. Kile usichopenda kufanyiwa usimfanyie mwenzako
Its about time wanawake tuwe na controll ya miili yetu na maisha yetu na tuache kuwalaumu wanaume kwa makosa yetu.
Hayo ni maamuzi tu kama ambavyo mwanamke unaweza kumkataa fulani na ukamkubali fulani kwasababu ambazo unazijua wewe na unajua ni kwa mstakabali wa maisha yako.
 
Kwani wewe uliemzalisha ulitegemea aolewe na nani kama wewe hutaki single mom and je huyo mwanamke mbona yeye kakubali olewa nae wakati nawe ni single dady mhhhh hujaamua kuoa wala hujampenda huyo msichana u still a boy
 
ila binadamu ni selfish lol una mtoto ila yeye kuwa na mtoto ni shida
 
Kwanza kabisa eee Mungu nisamehe dhambi ya kumzalisha dada wa watu mwaka 2010. Pia ingawa aliolewa kwa yeye mwenyewe kukosa subira kutokana na mimi kuwa na safari ndefu ya kusoma, licha ya kumsihi sana.

Huku Cambodia nimebahatika kukutana na wa Njombe mwenzangu(Mtanzania I mean) ni wife material haswaa.

Bond ikakubali, chemistry ni ya hali ya Juu.Yani ndo aina ya mke nilikuwa namtafuta, yani pamoja na mimi kutakiwa kumpenda ila yeye pia anatakiwa awe zaidi ya mama kwani nayajua niliyopitia mie.

Masikini nimegundua ana mtoto tayari ingawa anajitahidi kuficha ili tufikie adhma yetu. Yani moyo wangu umeumia sana, ingawa nami nina mtoto.
ukweli wa Mungu nafsi yangu haipo tayari kuoa mtu aliye na mtoto tayari.

NIMEKATA TAMAA, SIELEWI NIFANYE NINI?

Na demand ya kuoa ipo sana sana kwani umri nao si rafiki.

Akili imevurugika kabisa. Ama kweli ng'ombe wa masikini hazai.
Mitusi sibiria mkuu.wankuja Ila ata me hapana single mother
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom