Leo asubuhi kulitokea mabishano home

Leo asubuhi kulitokea mabishano home

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Aloh!
Unajua amenitisha NDO kina lake usikute mista wangu NDO najibishana Naye humu kwa ID tofauti .
 
Wafanyakazi ishi nao vizuri, anampikia mwanao chakula na anawapikia chakula kaeni nae vizuri, najua umenielewa mkuu, usije kulia baadae, ishu ya nguo ni ndogo sana, huyo atapita, so usimkazie kihivyo.
 
Wanawake wa Aina yako mi hapana aisee,

Kwanza unaonekana una mdomo mdomo,mbishi,kiburi,usietaka kujishusha,na mda wote unataka uonekane upo sahihi.

Umeleta mada yako hapa ushauriwe au upongezwe kua upo sahihi na unachomfanyia huyo bint?.

Ningekua Mimi huyo bint hiyo nguo nakurudishia,au niifungie kabatin nisiivae kamwe Hadi naondoka.

Masengenyo yanakondesha Sana.
Umempa mtu kitu,ushamshauri Mara moja,inatosha,ukiona anafanya atakavyo ndo maamuzi aliyo chagua,Kumsema sema sio afya.
Umeona uteme nyongo Sasa.Sasa badala ya kutoa maoni yako unakuja na hasira Kali kwani tumegombana Njoo tuishi wote maana Mimi najua wanawake wa Aina hiyo uliosema pengine ni wewe mwenyewe maana umejuaje maana usisema kitu kwa uhakika wkt sio.Narudia Tena nilimpa ya kutokea na si kushindia angesema Dada Mimi siwezi hii nguo kutokea nitaishindia kwani ningempa mbona KUNA nguo ingine nilimpa anasema labda ndogo au kubwa Sana nairudisha bila neno.Nyamaza wewe
 
Umeona uteme nyongo Sasa.Sasa badala ya kutoa maoni yako unakuja na hasira Kali kwani tumegombana Njoo tuishi wote maana Mimi najua wanawake wa Aina hiyo uliosema pengine ni wewe mwenyewe maana umejuaje maana usisema kitu kwa uhakika wkt sio.Narudia Tena nilimpa ya kutokea na si kushindia angesema Dada Mimi siwezi hii nguo kutokea nitaishindia kwani ningempa mbona KUNA nguo ingine nilimpa anasema labda ndogo au kubwa Sana nairudisha bila neno.Nyamaza wewe
Chumba cha faragha mmemuandalia lakini kama Mh raisi alivyosema?
 
Unatakiwa ufahamu kuwa huyo binti hajakulia kwenye malezi ya kutunza nguo au kugawa eti hii ya kushindia au hii ni yakutokea. So kinachoendelea hapo ni kuwa ile nguo anayoipenda sana ndio anayoivaa sana.
Na hiyo nguo uliyompa kaipenda sana,ndio maana hataki kuivua na sio kwamba haithamini.
NB: Mpe kwanza elimu kuhusu nguo za kushindia na za kutokea.
Exactly what it seem to be.
Kweli kuna mtu mwingine anaweza hata akavaa like vazi la graduation baada ya graduation kuisha kwa maana ameipenda tu bila kuzingatia Aina ya nguo au bi harusi akavaa Ile gauni sehemu ambayo sio sahihi mwingine atashangaa kwake ataona sawa tu.Huyu.wangu nilijua hajui kweli NDO Mana nilimkalisha chini wkt Nampa Ila mpaka Leo mshahara wake atanunua Sasa ashindie asishindie atajua yeye Ila like wazo langu la kusema nitamfanya awe na nguo NZURI NZURI zaidi za mtoko mbali na anazonunua yeye nimelifuta nisije anguka kwa stress
 
Bro samahani sana..ile jeans ilikuwa lonyalonya sana nikaiona niikate pensi..Nitakununulia nyingine basi.

Kidding.
Ni swala la kisaikolojia mtu ukimpa kitu anaona kuwa labda hakina thamani labda kumbe sometimes ni upendo tu .
 
Wafanyakazi ishi nao vizuri, anampikia mwanao chakula na anawapikia chakula kaeni nae vizuri, najua umenielewa mkuu, usije kulia baadae, ishu ya nguo ni ndogo sana, huyo atapita, so usimkazie kihivyo.
Kwani amekaziwa wapi yalikuwa mazungumzo madogo tuntena nikwambia hakuna kitu kizuri Kama kusema kitu kilichopo moyoni.Mfano.sasa nimeelewa Ina maana sitaweza mpa tena kitu changu kizuri si NDO kujifunza .Ili Naye Kama atanunua kanguo kake kazuri atashindia hiyo itakuwa juu yake.Na yeye akija kuwa na familia yake wawe wanajichanganyia tu Mambo sawa.Hamna tabu.Ila sikumpa ashindie na tulikubaliana na akasem sawa na za kushindia mbona nilivyompa hakwenda nazo kwa ndugu zake akachagua iyo NZURI zaidi.
Case closed.
 
Ni swala la kisaikolojia mtu ukimpa kitu anaona kuwa labda hakina thamani labda kumbe sometimes ni upendo tu .
Na hii NDO tatizo mfano KUNA ndugu yangu mmoja alichukua vitenge vyake kwenye kabati maana aliona anavyo vingi Sana alipokuwa anaenda kijijini akawagawia ndugu zake zilikuwa wax wakaingia navyo Shambani aliposhangaa kwa Nini wakasema vingekuwa vya maana asingegawa Bali angenunua mpya Dukani.Kwa maana kumbe kitu kizuri ni kile tu unachotoa Dukani na mtu akaona sio kile hata Cha thamani alichotunza ukampa hata Kama hukuwahi kuvaa hata Mara 2.Nature ya binadamu ipo hivyo.
 
Ishu simple, fanya unamuazimq nguo yako. Aivae akitoka, akirudi aifue then unaihifadhi kwako until next time.
 
Mi nilinunua jeans kali 25000 enzi hizo ikanibana kiuno ikiwa mpya kabisa nikampa ndugu yangu mtoto wa ba mdogo kesho yake akaikata pensi,
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hapana kwa alivyonionyesheshea si anamshahara wake tu mkubwa atanunua huenda nikaepusha hizi dhambi ndogo ndogo nimefuta Mimi kumnunulia nje ya mshahara nikijua ataheshimu hata kidogo changu kwa kuniwazia kwamba kwa hiki kitu Cha thamani Nikichezea Dada atajisikiaje.Naacha Sasa nione Kama yeye akinunua nguo NZURI ataenda nayo bustanini
Yes, muache ajinunulie ili kupunguza kelele au ugomvi usio wa lazima ndani. Hata hizi ulizompa wala usimuulize pale utakapoona anazivaa au tumia visivyo kwani hata kwa upande wake anajiona yuko sahihi na hata zaidi yako hivyo anakishangaa na kukuchukulia mwenye makosa kama unavyomchukulia mwenyewe.
"Every person is right in his own eyes but God measures the heart".

Nyongeza kwa mengi uliyoona hadi sasa kwa umri wako, jambo dogo kama hilo laweza tokea ili tu kuvuruga amani ndani au ndoa kabisa-akili mkichwa itumie vizuri kulitatua hili maana sasa lilishaanza kuhama toka bosslady v house girl to mr v mrs!
 
Nimependa Sana ushauri wako ni NZURI
Lkn nimegundua KUNA baadhi ya watu huchangia madam haraka haraka bila kuangalia dhima kuu ya mwandishi.Narudia Tena jamani I wish niipige picha halafu anachoifanyia.Hata wewe ungeumia kwanza ni dharau kwa nguo ya thamani na kwa kuifubaza huko lengo lake lisingekuwepo au Kama msemaji mmoja alivyosema labda mista alimsifia wakiwa wawili Mimi nitajuaje
We dada uko na GUBU sana asee!

Na hii ndio sababu kuna watu hawapendi kabisa kuomba au kupokea msaada. Wako tayari wateseke na shida zao kuliko kupewa msaada ambao baadae unageuka kuwa masimango.

Namna unavyojibu comments humu, inaonyesha kabisa umeanza kumchukia huyo binti kwa sababu tu "anavaa sana gauni ulilompatia".

Usimnyanyase huyo binti wa watu, kama vipi chukua gauni lako umuache avae mitumba yake kwa amani.

Amani ya moyo ndio kila kitu dadaangu, kwahiyo hakuna maana wewe na yeye mkose amani sababu ya gauni.

NB: Ila wanawake akiki zenu mnazijua wenyewe, yani kabisa gauni linakua such a big deal mpaka kuhusisha familia nzima pamoja na wana-JF? Like serious?
 
Nadhani hapo ni Wivu tu (ugonjwa wetu Ke tulio wengi) ndo unakufanya uwe maswali kibao kuhusu hiyo kauli ya Baba mwenye nyumba.

Nionavyo Mr wako yuko sahihi sababu we ushampa nguo huyo msichana usimpangie matumizi. Pia ako ni katabia ka wadada wengi ukimpa nguo yako nzuri usitegemee aiweke yupo radhi aweke hayo maronya ronya yake ila hiyo yako ashindie.

Kikubwa mwambie ajue kilichomleta, usiyoyataka hapo ndani kwako na aina ya mavazi unayotaka yavaliwe baas na mshahara si unampa ataenda nunua kwa hela yake.
Ahsante kwa muongozo Dada yangu.
Hii taasisi ina mengi sana
 
Na hii NDO tatizo mfano KUNA ndugu yangu mmoja alichukua vitenge vyake kwenye kabati maana aliona anavyo vingi Sana alipokuwa anaenda kijijini akawagawia ndugu zake zilikuwa wax wakaingia navyo Shambani aliposhangaa kwa Nini wakasema vingekuwa vya maana asingegawa Bali angenunua mpya Dukani.Kwa maana kumbe kitu kizuri ni kile tu unachotoa Dukani na mtu akaona sio kile hata Cha thamani alichotunza ukampa hata Kama hukuwahi kuvaa hata Mara 2.Nature ya binadamu ipo hivyo.
Hilo mwenzako nilishalijua siku nyingi,huwa sigawi kitu kwa ndugu labda aniombe,naviweka stoo acha igeuke makumbusho
 
Usikute dada wa watu anaichukulia poa nguo, kumbe maza mjengo anaiona classic sana.

Kwa kweli, aheshimu maamuzi ya mdada wake.
Maana anachokifanya ni makelele yasio na ulazima n mwishowe yatakuja kumjengea kiburi huyo mdada.
Haina shida NDO Mana nimeichukua Mara ya kwanza nilipompa nilimuelimisha ya kutokea sawa Dada.Akaigeuza ya kazi.Nikamshauri lakini amerudia means kwake ni nothing Sasa nikimuona nayo anadekia ntaumia Mana thamani yake kwangu ni kubwa sana
 
Aksante best.
Na Leo nimeelewa kwa Nini darasani mpo wote wengine wanafeli na wengine wanafaulu.
Mfano hili suala.Watu wanashindwa kutofautisha watoto unaoishi nao ndani na jinsi unavyotakiwa kuwa train.
Msichana wa kazi Mimi humchukulia Kama mwanagu wa kumzaa kwa maana hata mwanangu KUNA nguo hawezi tu akaishindia ovyo eti kwa sababu ni yake na nilinunua au nilimpa.Sasa Mimi kusema nilimpa Aina ya nguo ya kutokea na pia nikamuongezea na za kufanyia kazi.Tena SIO kwamba akiwa Nyumbani asivae hapana anaweza vaa Ila Ile asubuhi kuidekia kuilimia au wkt anamenya ndizi..kwa maana inaweza pata utonvu.Au point ya kusema hii nguo ya kutokea au uitunze vizuri NDO haijaeleweka naonekana namuonea
Punguza ujuaji we dada. Ungekua na busara, usingeibua mzozo kwenye familia yako kisa gauni.

Umekuja JF kuomba ushauri, tulia ushauriwe. Humu sisi walimwengu huwa hatupangiwi cha kushauri. Sio unaomba ushauri, alafu unaanza kupinga kila unachoambiwa.

Kwa kifupi, wewe haujaja kupewa ushauri, umekuja kutafuta support ili uhalalishe hisia zako mbovu. Ndio maana umemuunga mkono huyo aliekuambia kwamba mumeo atakua amemsifia huyo mdada wa kazi wakiwa peke yao.

Huwa nashangaa sana vile wanawake mko na uwezo mkubwa wa kutengeneza migogoro sehemu ambazo hazikutakiwa hata kuwa na migogoro. Sasa hivi kesi inahama kutoka kwenye gauni, utaanza kuhisi kuna mahusiano kati ya mumeo na dada wa kazi, kwakua mumeo amemtetea.

Utaanza kugombana na mumeo kwa kuhisi anakusaliti. Utaanza kugombana na mdada wa kazi kwa kuhisi anataka kumchukua mumeo. Ukija kushtuka, ndoa ipo ICU, kwa matatizo yalioanzishwa na "gauni".

"Mwanamke mjinga huivunja ndoa yake kwa mikono yake mwenyewe"
 
Back
Top Bottom