We ulishampa muache avae anavyotaka sio iwe kila siku unampangia masharti ya kuivaa inakuwa sawa na kumsimanga sijapendaHabari waungwana.
Habari ipo hivi. Nyumbani tuna House gal ambaye Kama kawaida husaidia kazi za Nyumbani pamoja na kulea watoto .Sasa wkt anakuja nikagundua
[emoji23][emoji23][emoji23]Bro samahani sana..ile jeans ilikuwa lonyalonya sana nikaiona niikate pensi..Nitakununulia nyingine basi.
Kidding.
Wala sio ya kucheka ni huzuni na amejikosesha Mambo mazuri.Umewahi kuishi na Dada wa kazi?hata kwa mwezi mmoja?Sipati kusema Wana vitukoo balaa vingine tunapuuzia mengine tunasema Ila aiseeeeee.Kuna siku alipika uji bht mbaya ukawa na mabojeboje badayw amwage au apike uji mwingine wa mtoto akawa ameipua anakamua kwa mkono Yaani Kama anayabonda kisha akachukua chujio la unga (kumbuka kwa lishe ya mtoto sio Safi kiafya)NDO baada ya kukamua anachuja just imagine uji ungekuwaje bht NZURI ilikuwa weekend nikaona nikamwambia siku ingine usipike uji huku unafanya kazi zingine lazima utageuka hivyo na ikitokea mwaga Anza upya.(tunavumia mengi wamama)[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimechekaa maana dada ameona hiyo Nguo ni ya kushindia nyumbani wew unamwambia ya Kutokeaaa...!! Kiufupii bora usingempaa kuliko Kumpa alafu uanze kumpangia Masharti aivaee wapii na asiivae wapii...
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Aloh!Wewe umejuaje Kama Anaitwa Baba J Mana NDO kina lake humu JF KUNA mambo
Kuna umri ukifikaa Sijui kama haya mambo bado yanakuwepoo...!! Unajikutaa unavaaa mixer tuuUnatakiwa ufahamu kuwa huyo binti hajakulia kwenye malezi ya kutunza nguo au kugawa eti hii ya kushindia au hii ni yakutokea. So kinachoendelea hapo ni kuwa ile nguo anayoipenda sana ndio anayoivaa sana.
Na hiyo nguo uliyompa kaipenda sana,ndio maana hataki kuivua na sio kwamba haithamini.
NB: Mpe kwanza elimu kuhusu nguo za kushindia na za kutokea.
Naona umeona useme tu ukidhani unaongea point KUNA nguo za uturuki bei kuanzia 80 kuendelea sidhani Kama ni unavyosema KUNA za kushindia kweli na KUNA za kutokea najua KUNA nguo mpaka mamilioni but naongelea niliyompa sio ya kushindia wadada hawajuagi kutofautishaBy the way hiyo nguo ni nzuri machoni pako...kwa wengine ni nguo ya kushindia
Kina mama wanapenda sana Kucontrok wadada wa kazii ndo maana sometimes unakuta wadada wanaona ni manyanyasoo sasa..Ingekuwa ni mdogo wako wa kuzaliwa umempa ungemsakama hivo?
Kuna kitu wanawake huwa hamuelewi, wanaume huwa tunakereka sana sana kwa namna mnavyokuwa mnapiga kelele na msichana wa kazi kila sasa kwenye mambo ambayo wala Hayana maana.
Halafu wanawake wote ni kama mmefanana hiyo tabia, naona kwa mke wangu, kwa mama, kwa ndugu na marafiki.
Yani msichana wa kazi alikosea jambo dogo tu ambalo pengine na Wewe huwa unakosea daily, utaongea Lisaa, sasa wanaume hatutaki hiyo kelele.
Dada mmoja tuliishi nae mwaka jana aliwahi kumuambia jirani yetu, yeye anapenda siku za jmosi na J2 kwasababu ndio nakuwa nyumbani hivyo mke wangu hawezi kumgombeza.
Hebu wamama chukulieni hawa dada wa kazi kama wadogo zenu, hata nyie huwa mnakosea, acheni masimango mnatengeneza ukatili kwa hawa wasichana
Noted.Ingekuwa ni mdogo wako wa kuzaliwa umempa ungemsakama hivo?
Kuna kitu wanawake huwa hamuelewi, wanaume huwa tunakereka sana sana kwa namna mnavyokuwa mnapiga kelele na msichana wa kazi kila sasa kwenye mambo ambayo wala Hayana maana.
Halafu wanawake wote ni kama mmefanana hiyo tabia, naona kwa mke wangu, kwa mama, kwa ndugu na marafiki.
Yani msichana wa kazi alikosea jambo dogo tu ambalo pengine na Wewe huwa unakosea daily, utaongea Lisaa, sasa wanaume hatutaki hiyo kelele.
Dada mmoja tuliishi nae mwaka jana aliwahi kumuambia jirani yetu, yeye anapenda siku za jmosi na J2 kwasababu ndio nakuwa nyumbani hivyo mke wangu hawezi kumgombeza.
Hebu wamama chukulieni hawa dada wa kazi kama wadogo zenu, hata nyie huwa mnakosea, acheni masimango mnatengeneza ukatili kwa hawa wasichana
Mawazo yako tu Mimi tokea naanza kuwa na wadada nikihesabu huyu ni wa 4.Kwa maana wa kukaa Naye Nyumbani hata mista ukimuuliza aliwahi kutana na hiki kids atashangaa labda wengine walikuwa ninwaelewaKina mama wanapenda sana Kucontrok wadada wa kazii ndo maana sometimes unakuta wadada wanaona ni manyanyasoo sasa..