funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,650
- 21,522
Kivipi unampa mtu kitu na kumpangia masharti. Big NO. Mumeo yuko sahihi kabisa kukueleza hivyo. Halafu kama mtu anakuja kutoka kijijini si mumpeleke hata Manzese au Tandika huko kwenye mitumba ya bei rahisi mkamnunulia hata nguo za elfu 20 ila nyingi ili apate kujistiri na kuonekana kimjini. Nyie ndio mahausi gelo wenu wanakatiza huku Masaki (International Area) na mikanga utadhani tuko Sikonge Tabora
Mie niliwahi kumpa House Boy wangu radio Sony akaishi nayo kwenye servant quarter yake maana alikuwa anapenda kusikiliza michezo kwenye simu. Kuna siku baada kama mwaka hivi akaja ananiambia radio imeharibika nilichomjibu ndio kama kama scenario yenu nilimwambia nimeshakupa hiyo radio mie sihusiki tena nayo. Kama imeharibika mwite fundi uitengeneze. Vipi kama ungekuwa umeshaondoka kwenda kwenu ungenitafuta nije kukutengenezea radio
Unapotoa kitu umetoa achana nacho. Unapojihusisha nacho ina maana hujatoa kwa moyo mmoja
Unaonekana una matatizo ya ubinafsi na mumeo analifahamu hilo ila tu hajakwambia anajaribu kukuelekeza ili usiumie
Mie niliwahi kumpa House Boy wangu radio Sony akaishi nayo kwenye servant quarter yake maana alikuwa anapenda kusikiliza michezo kwenye simu. Kuna siku baada kama mwaka hivi akaja ananiambia radio imeharibika nilichomjibu ndio kama kama scenario yenu nilimwambia nimeshakupa hiyo radio mie sihusiki tena nayo. Kama imeharibika mwite fundi uitengeneze. Vipi kama ungekuwa umeshaondoka kwenda kwenu ungenitafuta nije kukutengenezea radio
Unapotoa kitu umetoa achana nacho. Unapojihusisha nacho ina maana hujatoa kwa moyo mmoja
Unaonekana una matatizo ya ubinafsi na mumeo analifahamu hilo ila tu hajakwambia anajaribu kukuelekeza ili usiumie