Leo asubuhi kulitokea mabishano home

Leo asubuhi kulitokea mabishano home

Sawa.Nimekuelewa naona Kama KUNA baadhi wameelewa na wengine wanajibu bila kusoma vizuri.Narudia mstari mmoja 'baada ya kugundua Hana nguo ya kutokea nikampa nguo yangu special ili naye akipata kamtoko avae na nikiwa mbioni kumpa zingine NZURI licha ya kwamba zaidi ya hiyo nimeshampa zingine nyingi.Gii nguo special ni ya kutokea au wewe hujawahi kuwa na nguo special unajivaliaga tu?
Kwamba umempa nguo nyingi ila ya kutokea special ndo umempa hiyo moja tu?
Halafu ni mfanyakazi wako?
Hapana kuwa wazi dadangu ni hivo tu ndo umekuja fungulia uzi kisa nguo tu uliyompa?

Mie nasema kuna kingine labda.HAIINGI AKILINI KABISAAA labda uwe mchoyo .
 
Shoga wanaume hawapendagi mikelele, wewe ukitaka kumsema HG msemee huko pembeni, shida unataka support ya Mr...
Wanaume Wana roho nzuri sana....!
Malegend tunawakanya ma HG tukiwa alone.
Nachukia sna mwanamke wangu kuanza makelele na HG
 
Pole mkuu
Aksante best.
Na Leo nimeelewa kwa Nini darasani mpo wote wengine wanafeli na wengine wanafaulu.
Mfano hili suala.Watu wanashindwa kutofautisha watoto unaoishi nao ndani na jinsi unavyotakiwa kuwa train.
Msichana wa kazi Mimi humchukulia Kama mwanagu wa kumzaa kwa maana hata mwanangu KUNA nguo hawezi tu akaishindia ovyo eti kwa sababu ni yake na nilinunua au nilimpa.Sasa Mimi kusema nilimpa Aina ya nguo ya kutokea na pia nikamuongezea na za kufanyia kazi.Tena SIO kwamba akiwa Nyumbani asivae hapana anaweza vaa Ila Ile asubuhi kuidekia kuilimia au wkt anamenya ndizi..kwa maana inaweza pata utonvu.Au point ya kusema hii nguo ya kutokea au uitunze vizuri NDO haijaeleweka naonekana namuonea
 
Kauli ya Mr imekutatanisha ukaona anamtetea maid, may be anataka kupiga U-turn nini la hasha. Stay positive, Mr wako yuko right. Ukimpa mtu kitu usimpe masharti.
Huyo SIO mtu ni Kama mwanangu wa Nyumbani na point kubwa kukiw
a na kadharua asiadhirike na hapa nipo njiani kumuongeze za kutokea SIO kuzigeuza za kuendea Bustani au kufagilia NDO Mana hata wkt nampa nilimwambia
 
Umesoma vizuri toka mwanzo?kwa Nini Kama ni hivyo huwa watoto wakitoka na nguo kanisani au na nguo special mahali husema vua Kwanza hiyo nguo Na Mimi sijamchukulia Kama mtu Bali au jirani au mtu nisiyekaa Naye na sijawahi mwambia asivae Ila asiifanyie kazi mfano wkt anafagia au wkt anamenya ndizi.Na wkt Nampa nilimwambia hii ya kutokea .

Na SIO hivyo tu nikamuongezea zingine za kufanyia kazi asubuhi kwa maana hata akivaa iyo nguo Nyumbani wkt hafanyi zile kazi za kuifubaza Haina shida.Nikisema kuifanyia kazinunaelewa NDO Mana hata shambani KUNA nguo zake usijifanye hujaelewa
mpe na nguo za ndani halafu muulize mmeo kama anazivaa inavyotakiwa
 
[emoji3][emoji3][emoji41][emoji849][emoji16] Kwa kosa gani?
Kosa hulioni?kwanza ameonyesha dharau kubwa japo SIO kwamba namfukuza hapana Ila ni dharau.Watu hata hawajui Aina ya nguo ninayoongelea Kama ni yeye kununua angenunua nguo 6ndo Mana nikamwambia ya kutokea hii na hizomi zingine changanya na zile za asubuhi wkt wa usafi.Sasa yeye anajifanya hajui
 
Sasa kwa kuwa unataka kumpangia kwa sababu tu umempa basi ningekushauri ACHA KUMPA. Mshukuru mumeo hajakutwika makofi kwa ufinyu wa akili zako.
Haaa haaa haaaa (naona we ni mmoja wa wale watu wanaochangia mada bila kusoma maelezo vizuri.Labda nikufafanulie na wewe.Ndio nilimpa lkn kwa masharti kwamba hii ya kutokea na hizi za kufanyia usafi.Sasa hayo ya kuchapana makofi umeyasema wewe bila kutafakali Nia yangu njema.
 
Shida ya wanawake wajinga huwa wanataka kutetewa na waume zao hata kama kafanya upupu wa ajabu.
Upupu you wa ajabu.Soma vizuri na acha hasira.Lengo la kumpa halikuwa Hilo.Na ni Kama mwanangu si mpita njia ambaye kweli ukimpa huwezi mpangia.Jua kutofautisha.
 
Shoga wanaume hawapendagi mikelele, wewe ukitaka kumsema HG msemee huko pembeni, shida unataka support ya Mr...
Wanaume Wana roho nzuri sana....!
Malegend tunawakanya ma HG tukiwa alone.
Nimekuelewa Ila kwa hapa dear lengo langu nashukuru umenielewa na ni kawaida hata ukitoka kanisani na watoto ukaona wanaendelea kuchezea nguo zile NZURI za kanisani utasikia vua kwanza hiyo.Sijawahi ona mtu akisema amewapangia maana yangu ilikuwa hiyo.Walau asigeuze Kila nguo ya kushindia
 
Wewe ndio una makosa kumpangia muda au wakati wa kuvaa nguo ulizompa.
Mwache huru
 
Aksante best.
Na Leo nimeelewa kwa Nini darasani mpo wote wengine wanafeli na wengine wanafaulu.
Mfano hili suala.Watu wanashindwa kutofautisha watoto unaoishi nao ndani na jinsi unavyotakiwa kuwa train.
Msichana wa kazi Mimi humchukulia Kama mwanagu wa kumzaa kwa maana hata mwanangu KUNA nguo hawezi tu akaishindia ovyo eti kwa sababu ni yake na nilinunua au nilimpa.Sasa Mimi kusema nilimpa Aina ya nguo ya kutokea na pia nikamuongezea na za kufanyia kazi.Tena SIO kwamba akiwa Nyumbani asivae hapana anaweza vaa Ila Ile asubuhi kuidekia kuilimia au wkt anamenya ndizi..kwa maana inaweza pata utonvu.Au point ya kusema hii nguo ya kutokea au uitunze vizuri NDO haijaeleweka naonekana namuonea
Dada naona mada yako inakupa stress tena maana watu wameelewa tofauti na ulivyokusudia, pole.

Nafikiri kama umemchukulia huyo msaidizi wako kama mtoto au mdogo wako, una wajibu wa kumuelekeza tena mkiwa wawili.

Unapokosea ni kutaka kulazimisha na mr. Ahusike kwenye kumfundisha hapo unafeli pakubwa sana na wanaume tuna utaratibu wa kuchukulia vitu kawaida sana unaweza ona jambo ni kubwa sana ila hata halitushitui kabisa.

Muelekeze vizuri tu kuwa nguo hiyo aitumie kwa mtoko, yawezekana hata namna unamuelekeza sio nzuri ndo maana binti hakuelewi.
 
Haina haja ya kumpangia mazingira ya kuvaa nguo uliyompa, kama hujapenda anavyoitumia ichukue tu nguo yako aendelee kuvaa nguo zake alizonazo. Ila usimwache avae vikanga wakati mista wako anashinda nyumbani maana ndo mitego pekee inayotumiwa na dada wa kazi kuwamiliki baba wenye nyumba.
 
Wamama sometimes mnapendaga vita visivyoisha aiseeee, Jamaa Yuko very right. Uliitoa kama sadaka, so kwanini umpangie? Umeshauri mara ya kwanza, hajabadilika, si ukae kimya? Why fighting over such petty issues?
 
Exactly, hata mimi ndicho nachoona huyu bibie anataka support ya Mr.
Hizo kelele za kila siku unavaa hii kwanini usivae ile, kesho na keshokutwa tena jambo hilo hilo lazma jamaa kakereka ila bibie anahisi anamtaman huyo binti.
Wala msifike huko.
Mimi kwenye maisha yangu haya Mambo ya kusema mista anaweza mtamani binti wa kazi kwanza kichwani mwangu hayapo.Kwa maana hii moja kwanza sipendi kujistress na ujinga pia akiamua yeye kumtamani au kumtongoza sidhani Kama Mimi naweza zuia since ameamua kufanya hivyo.Maana most of men wapo hivyo ni wachache Sana wanaoweza jizuia na tamaa za hivyo na ukosefu wa hofu ya Mungu na tamaa za vibinti vidogo kwa kuwageuza as cheap labor.Na ahadi za uongo.Kwa maana nikigundua sitasema kitu Ila nitajua Cha kufanya halafu mume akianza kutoka au kutembea na binti utajua anaweza binti akakosea Kama mtoto hatapenda umkosoe au binti ataanza kumuonea Aibu na shemeji shemeji haziishi.That is life.But huwa nasema mtaalibiwa maisha yenu wanawadanganya
 
Back
Top Bottom