Jamani wakati mwingine tuache uzushi! Yaani rais wa Marekani atumie dola milioni 60-100 kuja kuongea mambo ya ushoga? Wamarekani (walipa kodi) wangemuacha kweli?
Na kama ni kweli anakuja kueneza ushoga, je, Afrika Kusini nako anaenda kufanya nini maana tayari nchi hiyo (Afrika Kusini) wanaruhusu ushoga?
Hebu tuache uzushi.
Na kama ni kweli anakuja kueneza ushoga, je, Afrika Kusini nako anaenda kufanya nini maana tayari nchi hiyo (Afrika Kusini) wanaruhusu ushoga?
Hebu tuache uzushi.