Lengo la ziara ya Obama ni hili hapa

Lengo la ziara ya Obama ni hili hapa

alert news:bomu kutia dosari ziara ya obama litapitia baharini maeneo ya ikulu litabebwa kwenye mtumbwi mdogo wa kuvua samaki kwani hawajakatazwa kuvua lengo ni kutia doa ziara na kuchafua serikali kwani sababu ya gesi na mafuta kuna usaliti ndani ya serikali baadh ya watu wanaotumika na wapambe
 
Tuwe wenye kuchambua mambo kama huna sababu za kuupinga ushoga basi na usikurupuke tuanzishe mjadala wa kitaifa then tuchore mstari. Maafikiano ni yapi.

Haya maoni yangu yametokana na political view. Tusiingize dini kwenye huu mjadala. Kuna watu wenye tabia za kupre empty mambo ili wasishtukiwe camoon..Kama wewe ni shoga usifikiri ukiongea kwa kutokwa mapovu kuwa hatuutaki ushoga ili uonekane sio shoga ni kujidanganya, tuwekane wazi tujue tutasaidianaje. Tusifumbie macho hili tatizo jaman.


Ushoga ni kinyume na kanuni ya maumbile. Hiyo ni hoja inayojitosheleza kama hatutaki kuhusisha dini.
 
Kabla ya kusema oh Obama this... Obama that... Mimi na wewe Kama wanajamii je, tunaupiga vita kweli ushoga kwa dhati ya nafsi yetu? Sisi kama Jamii tukifanikiwa kuuondoa na kutou-support ushoga, serikali yetu haitaweza haitaweza kuweka sheria zenye kutetea kitu ambacho hakipo. BUT, tembelea kumbi za starehe na maeneo zinapiga bendi za taarabu. Mashoga ndo wanatawala na ndo upewa free pass. Ktk maharusi mitaani mashoga ndio unogesha shughuli. Je, hii ni sababu ya Obama or America? The rot is deep down within us. Runinga zetu kila siku zinarusha tamthilia za kigeni zinazo-promote ushoga ndani yake. Nani anabisha hili? Madada zetu kutwa wanakaa wakipiga story na mashoga na yote haya yafanyika mitaani kwetu. Mimi na wewe tunafanya nini dhidi ya hili? Magazeti ya udaku nayo ndo kila kukicha yana story za kusifu mashoga. Wakuu tusafishe mitaa na majumba yetu kwanza
 
Katika baadhi ya sherehe za harusi mitaani mashoga ndo wanasasambua. Nasi twawatunza na kuwashangilia kwelikweli. Let's work on our ethics and moral value kwanza. Usijishughulishe sana na maneno ya ushoga toka kwa Obama wakati ushoga tayari ni moja ya tatizo (social vise) tunayoilea mitaani
 
Lengo la nchi za magharibi kueneza ushoga ni kutaka kutawala ujuwe mtu akisha kuwa shoga ni mtu ambaye hana marifa tena ni mtu aliye kataa tamaa na maisha ni mtu anaye weza kuleta maafa mda wowote yni ni mtu mshenzi so ndio maana inabidi tuupinge ushoga kwa nguvu zote na kwa garama yoyote ata ikiwezekana kuwapiga risasi hazarani yni kuwatokomeza kabisa ni maafa kw Taifa na ulimwengu. yn hawajamaa wanajuwa faida watakayo ipata kupitia mashoga miaka michache ijayo yani akili ya shoga ni akili ya mwisho kabisa yni mwanamke ni mjanja mara 100ya shoga ni bora kuwa na kiongozi mwanamke kuliko shoga yni hawajamaa wana malengo na huu mpango ,tusipo kuwa makini na hawa Afrika baada ya miaka 50ijayo itakuwa haina tena wanaume na kutakuwa hakuna kizazi kingine so ndio njia ambayo wanaweza kutawala nayo ama kulichukuwa bara la afrika.tujiulize kwanini tuna tetea ushoga je ndio tunataka tusiongezeke tena au ndio tunataka tusizaliane tena au !!?
Lakini na wao si watakuwa mashoga wengi zaidi?basi tuwatawale wao mwanzo!
 
US President Barack Obama has called on African governments to give gay people equal rights by decriminalising homosexual acts.

Mr Obama made the comments in Senegal after meeting President Macky Sall on the first leg of his African tour.
Mr Sall said Senegal was a "very tolerant" country but it was "not ready to decriminalise homosexuality".

Source: BBC News - Obama urges gay rights in Africa during trip to Senegal

Senegal was not ready to decriminalize homosexuality... That means they are now ready.
 
Kabla ya kusema oh Obama this... Obama that... Mimi na wewe Kama wanajamii je, tunaupiga vita kweli ushoga kwa dhati ya nafsi yetu? Sisi kama Jamii tukifanikiwa kuuondoa na kutou-support ushoga, serikali yetu haitaweza haitaweza kuweka sheria zenye kutetea kitu ambacho hakipo. BUT, tembelea kumbi za starehe na maeneo zinapiga bendi za taarabu. Mashoga ndo wanatawala na ndo upewa free pass. Ktk maharusi mitaani mashoga ndio unogesha shughuli. Je, hii ni sababu ya Obama or America? The rot is deep down within us. Runinga zetu kila siku zinarusha tamthilia za kigeni zinazo-promote ushoga ndani yake. Nani anabisha hili? Madada zetu kutwa wanakaa wakipiga story na mashoga na yote haya yafanyika mitaani kwetu. Mimi na wewe tunafanya nini dhidi ya hili? Magazeti ya udaku nayo ndo kila kukicha yana story za kusifu mashoga. Wakuu tusafishe mitaa na majumba yetu kwanza

Mavi yatawahukumu tu, si mwataka halalisha njia zake ziingiliwe! Pumbufu sana!!
 
_68418319_gay_africa464x495.gif
hali mbaya sana ndugu zanguni. bbc wametoa ramani ikionesha nchi za afrika zinazokubali ndoa za jinsia moja, na nchi zisizo kubali ndiyo hizo. idadi inakaribia kuwa sawa! inasikitisha sana! nchi za kiarabu kaskazini mwa afrika ndoa hizo haziruhusiwi na hukumu ni kifo au kifungo cha maisha. sielewi kwa nini zimewekewa kijivu hafifu (light grey) na siyo nyekundu! sidhani ushoga ndiyo jambo kuu lililomleta Obama. ameletwa kwa sababu za kiuchumi na kisiasa. naamini hata hilo la ushoga ataligusia kama alivyofanya Senegal. katika rasimu ya katiba, tumecopy na kupaste haki za binadamu zote. itabidi iainishwe vizuri kuwa ndoa za jinsia moja ni kifungo cha maisha. la sivyo tutakuja sumbuliwa kwa kisingizio kuwa ni haki ya mtu kuolewa au kuoa yeyote amtakae. jambo la pili, haki za binadamu zinataja haki ya mtu kuishi. lkn zinakosea kuhusu mtu anae mnyima mwenzake haki ya kuishi (anaeua) afanyweje? kwa maoni yangu, kama kaua makusudi, na yeye auawe. TUWE MAKINI NA NENO HAKAI ZA BINADAMU. wazungu wanachezea akili zetu

Mkuu shukran kwa taadhari na taarifa, kuna hizo nchi ambazo kijivu yake imepauka hasa hizo za kaskazini na Madagascar hizipo zipi kundi gani?
 
Mkuu shukran kwa taadhari na taarifa, kuna hizo nchi ambazo kijivu yake imepauka hasa hizo za kaskazini na Madagascar hizipo zipi kundi gani?

na mimi niliichukua ramani kwenye tovuti ya bbc. hawajafafanua kwenye ufunguo (key). ukiangalia ramani, nchi zenye kijivu mpauko ni za kiarabu. ktk nchi za kiarabu ndoa hizo ni zaidi ya illegal. hukumu yake ni kifo. ila kuna nchi kama tunisia, moroco na algeria ambazo ni makoloni ya ufaransa, sidhani kama hukumu yake ni kifo japo hawajaruhusu ndoa hizo
 
na mimi niliichukua ramani kwenye tovuti ya bbc. hawajafafanua kwenye ufunguo (key). ukiangalia ramani, nchi zenye kijivu mpauko ni za kiarabu. ktk nchi za kiarabu ndoa hizo ni zaidi ya illegal. hukumu yake ni kifo. ila kuna nchi kama tunisia, moroco na algeria ambazo ni makoloni ya ufaransa, sidhani kama hukumu yake ni kifo japo hawajaruhusu ndoa hizo

Thankx mkuu...
Wakimaliza hili watatuambia tufunge ndoa na wanyama!
 
Lakini na wao si watakuwa mashoga wengi zaidi?basi tuwatawale wao mwanzo!
anza kufanya tafiti mwenyewe wao madawa ya kulevya ya mewaathiri kiasi gani ukilinganisha na kwetu na wana mateja kiasi gani !?
wao wanaviwanda vingi vya pombe je wao wanawalevi wa kupindukia kiasi gani ?
JIULIZE UNAJUWA KWENDA NA MDA?
KAMA HUJUWI KWENDA NA MUDA BASI FIKIRIA SANA NDUGU !!
WENZETU WANAJUWA MIPAngo ndiyo maana wanajuwa nini maana ya mda!!
so wao wame anza ila kama tukiruhusu huu upuuzi tarajia kuwa na masho 100,000/ ndani ya mwezi ?
me nina laani kwa garama yoyote ile vitendo vya ushoga ata kwa kumwaga dam!

 
Kwa sisi watu wa 'kiroho' Obama anakuja kwa malengo matatu:
1. Kutetea mashoga
2. Anakuja na kundi la wafanyabiasha free masons ili kuangalia uwezekano wa kuwekeza, lakini pia kuwaongeza akina Sir Chande.
3. Obama anakuja kuusimika mzimu wake. Mzimu utakaosimamia rasilimali za nchi. Mzimu utakaohakikisha hatuna maamuzi wala faida kutoka kwa rasilimali zetu. Kila kitu kitaamuliwa toka Washington
Mwenye masikio asikie neno ambalo Roho awaambia waTanganyika. Omba mzimu huo usipate nafasi na hivyo arudi nao.
 
Nko katika harakati za kutafuta nchi yangu mwenyewe, nianzishe jamii yangu na serekali yangu, nitaipa jina la NCHI SAFI, huko hakuna ushoga wala usagaji,
 
dunia ya pande mbili, uovu na wema,nuru a giza,shetani na yesu, ndio maana naona kuna watu humu walio upande wa nuru hawaungi mkono uovu(ushoga) na walio upande wa giza waunga mkono uovu(ushoga) kwa kutumia kigezo cha haki za binadamu.
 
Back
Top Bottom