watz ni wanafiki sana hawa mashoga ndio tunaishi nao mtaani kila sikuna wakiwa kwenye taarabu tunawashangilia sana na sisis wenyewe ndio tunaowalawiti sio wageni kutoka njee hawa mashoga wana mabwana wa kibongo wengi ila hao mabwana ndio hao hao wanaofanya wanapinga sana ushoga sasa huo si unafiki
wanafiki wengi sana......kuna mmoja namjua anaitwa b...l huyu ni gay 110%....anakubalika na maarufu sana hapa mjini....kwa msimamo ninaouona hapa jf angekuwa kashachinjwa ila unafiki tu......