Lengo la ziara ya Obama ni hili hapa

Lengo la ziara ya Obama ni hili hapa

Wewe revocutus kashaga hayo mambo yenu mkayajadili na kna ruge wewe si ndio huwa ni mpambe wa clouds na ruge apa jamvin mkajadili hizo laana zenu hukohuko knondoni tumheshimu mungu vtabu vtakatfu vmelaani hii ktu ata sodoma na gomora ziliangamizwa na mungu kwa sababu ya hii laana mods toa hii laana huku jf iblsi nenda kuzmu
 
Ngoja machizi wa USA waanze na wanae au ndugu zake kwanza aone ubaya/uzuri wa kitendo hicho.
 
Issue ya homosexuality tuipe muda wa kuifikiri na kuijadili, over and over sio unakurupuka na kuanza kunyanyapaa gays. Mf kuna baadhi ya wanaume since anazaliwa anakua ana ulemavu wa hormones badala ya kuwa na testosterone (ya male) anakuwa na geosterone (female) hata wasichana wapo wenye hormone za kiume (testosterone). Hivyo action za mtu kama female or male hutegemea sn hizi hormones. Male anapozaliwa na geosterone hormone its naturally desires zake zitakuwa kama za binti.

Najiuliza hivi kama tunaheshimu dis ability nyingine km ulemavu wa akili, ngozi na viungo vingine, kwanini hawa watu waliopata ulemavu wa hormone tusiwatambue???

MKUU JIWEKE WAZI,inawezekana na wewe ni m-liberal!
 
kwa nini unadhani wote watakuwa wanaliwa kiboga?

kama ni halali kula au kuliwa, haita wasumbua sana. Ni kama kubadilisha mboga tu. Wakinogewa ndio basi tena, watabadilisha miondoko na sauti.
 
Sidhani kama hilo la haki za wase.nge nd'o linalomleta bongo,issue kubwa ni nishati za mafuta gesi na miradi yao mbalimbali,kama hilo ndilo linalomleta basi hata yeye nina wasiwasi nae,atakuwa si rizki pia.
 
Nina uhakika hakuna watu wanaochukia ujio wa Mliberali Obama kama Chama cha CUF maana wanaohofia ujio huu na ajenda za Ushoga za Marekani kwa Tanzania zitarudisha kumbukumbu zileeee wakati kashfa za misimamo yao ya ki-Liberali zilipowekwa peupe mbele ya Watanzania na Chama cha CHADEMA baada ya CUF kufanya siri kwa muda mrefu.
 
I say noooooo........ Hakuna ulazima.....
 
Suala hili ni dogo na si kwakusema hivi naunga mkono ushoga isipokuwa tunapaswa kuangalia ujio wa Obama na mustakabali wa uchumi wetu
 
issue ya homosexuality tuipe muda wa kuifikiri na kuijadili, over and over sio unakurupuka na kuanza kunyanyapaa gays. Mf kuna baadhi ya wanaume since anazaliwa anakua ana ulemavu wa hormones badala ya kuwa na testosterone (ya male) anakuwa na geosterone (female) hata wasichana wapo wenye hormone za kiume (testosterone). Hivyo action za mtu kama female or male hutegemea sn hizi hormones. Male anapozaliwa na geosterone hormone its naturally desires zake zitakuwa kama za binti.

najiuliza hivi kama tunaheshimu dis ability nyingine km ulemavu wa akili, ngozi na viungo vingine, kwanini hawa watu waliopata ulemavu wa hormone tusiwatambue???
we lazima ni shoga
 
You are deadly wrong my pal! That is not the main agenda!. The main agenda is TRADE since China has already established his trade roots with Africa especialy Tanzania,Americans see as if they were taken by suprise by China visit . Now they are reacting. Take my words!
 
Hiyo ndio good governance aliyokuja kupromote Afrika?Mr Obama,if you don't have anything else to tell us,go back to washington d.c!we don't want homosexuality,if you don't have good girls to marry in America,we have them in Africa!if you don't have decent society to protect in America,we have!if you don't have beautiful culture to cherish,we have,and if you don't have great,glorius,mighty and HOLY GOD to respect in America,WE HAVE IN AFRICA!Stop telling us cursed stuffs,we are still HOLY and SPIRITUAL VIRGINS,not SATANIC slaves!NO ELLITES AGENDAS,NO FREEMASON,NO COUNCIL OF 13,NO ILLUMINATI!NO PINDAR TO LEAD US,ONLY GOD ALMIGHTY OUR CREATOR!

Huyu Mungu unayemsema mbona ni wao waliwaletea_sasa wamewaachia mnauana mking'ang'ania kuchinja vitoea,..sasa wanawaletea dini mpya in the name'democracy'...._mnatoa mapovu ya nini,...mtaimbishwa wimbo huo mpaka uwakae kichwani then mtaukubali tu......

Poor Africa.........!
 
me nitakachofanya nikuwahi ubungo japo nimuone rais wa dunia hayo mengine watajua wao. kwanza naamini hata kama kuna zaidi sisi niwakuibiwa tu.
 
_68418319_gay_africa464x495.gif
hali mbaya sana ndugu zanguni. bbc wametoa ramani ikionesha nchi za afrika zinazokubali ndoa za jinsia moja, na nchi zisizo kubali ndiyo hizo. idadi inakaribia kuwa sawa! inasikitisha sana! nchi za kiarabu kaskazini mwa afrika ndoa hizo haziruhusiwi na hukumu ni kifo au kifungo cha maisha. sielewi kwa nini zimewekewa kijivu hafifu (light grey) na siyo nyekundu! sidhani ushoga ndiyo jambo kuu lililomleta Obama. ameletwa kwa sababu za kiuchumi na kisiasa. naamini hata hilo la ushoga ataligusia kama alivyofanya Senegal. katika rasimu ya katiba, tumecopy na kupaste haki za binadamu zote. itabidi iainishwe vizuri kuwa ndoa za jinsia moja ni kifungo cha maisha. la sivyo tutakuja sumbuliwa kwa kisingizio kuwa ni haki ya mtu kuolewa au kuoa yeyote amtakae. jambo la pili, haki za binadamu zinataja haki ya mtu kuishi. lkn zinakosea kuhusu mtu anae mnyima mwenzake haki ya kuishi (anaeua) afanyweje? kwa maoni yangu, kama kaua makusudi, na yeye auawe. TUWE MAKINI NA NENO HAKAI ZA BINADAMU. wazungu wanachezea akili zetu

Naki za binadamu,utawara bola,na demekrasia ndimo walimotufungia,je tutatoka hapo kweri?
 
Back
Top Bottom