Lengo la ziara ya Obama ni hili hapa

Lengo la ziara ya Obama ni hili hapa

Wabongo walivyo mtetemekea huyu mjaluo atakachokuwa anaongea ni kutikisa vichwa tu. Mtawaona akina jk na akina membe watakavyoshoboka. Wakiambiwa mnatakiwa muwakubali mashoga wao ni kutikisa vichwa wakimanisha wamekubali
 
Inaelekea UKIMWI haukutimiza lengo la kutupunguza/kutumaliza (japo wameleta ARV ili tuzidi kupata muda mrefu wa kuambukizana halafu baadaye watuambie virusi vimekuwa sugu = maangamizi ya haraka kwa mara moja). Pia MALARIA imeshindwa kutumaliza pamoja na nia yao ya kuleta chandarua badala ya kuangamiza mazalia ya mbu (unaumwa na mbu sebuleni unaenda kulala kwenye chandarua ukiwa na vimelea tayari). Sasa wameona wazuie uzazi kidiplomasia kwa kupalilia ndoa za jinsia moja. Kama Obama atashauri suala la Tanzania kuridhia homosexuality, Serikali itoe tamko la kukataa ushauri huo immediately kabla Obama hajapanda ndege kuondoka. Naamini ujasiri huo tunao na Mh Membe anajua hilo.
 
ili niikubali kusaini, basi nione yeye obama aolewe kwanza, tushuhudie ndoa yake na mwanaume mwenzake
 
Aanze yeye kuolewa wanaume asilani hatutakubali ushaitwan huo haupo kwenye mpango wetu
 
Issue ya homosexuality tuipe muda wa kuifikiri na kuijadili, over and over sio unakurupuka na kuanza kunyanyapaa gays. Mf kuna baadhi ya wanaume since anazaliwa anakua ana ulemavu wa hormones badala ya kuwa na testosterone (ya male) anakuwa na geosterone (female) hata wasichana wapo wenye hormone za kiume (testosterone). Hivyo action za mtu kama female or male hutegemea sn hizi hormones. Male anapozaliwa na geosterone hormone its naturally desires zake zitakuwa kama za binti.

Najiuliza hivi kama tunaheshimu dis ability nyingine km ulemavu wa akili, ngozi na viungo vingine, kwanini hawa watu waliopata ulemavu wa hormone tusiwatambue???
 
_68418319_gay_africa464x495.gif
hali mbaya sana ndugu zanguni. bbc wametoa ramani ikionesha nchi za afrika zinazokubali ndoa za jinsia moja, na nchi zisizo kubali ndiyo hizo. idadi inakaribia kuwa sawa! inasikitisha sana! nchi za kiarabu kaskazini mwa afrika ndoa hizo haziruhusiwi na hukumu ni kifo au kifungo cha maisha. sielewi kwa nini zimewekewa kijivu hafifu (light grey) na siyo nyekundu! sidhani ushoga ndiyo jambo kuu lililomleta Obama. ameletwa kwa sababu za kiuchumi na kisiasa. naamini hata hilo la ushoga ataligusia kama alivyofanya Senegal. katika rasimu ya katiba, tumecopy na kupaste haki za binadamu zote. itabidi iainishwe vizuri kuwa ndoa za jinsia moja ni kifungo cha maisha. la sivyo tutakuja sumbuliwa kwa kisingizio kuwa ni haki ya mtu kuolewa au kuoa yeyote amtakae. jambo la pili, haki za binadamu zinataja haki ya mtu kuishi. lkn zinakosea kuhusu mtu anae mnyima mwenzake haki ya kuishi (anaeua) afanyweje? kwa maoni yangu, kama kaua makusudi, na yeye auawe. TUWE MAKINI NA NENO HAKAI ZA BINADAMU. wazungu wanachezea akili zetu

Sijaelewa kwa Malawi kuwekewa "red". Kwani taarifa za yule mama kuukubali "Ushoga" zikoje? Tujuzane
 
Issue ya homosexuality tuipe muda wa kuifikiri na kuijadili, over and over sio unakurupuka na kuanza kunyanyapaa gays. Mf kuna baadhi ya wanaume since anazaliwa anakua ana ulemavu wa hormones badala ya kuwa na testosterone (ya male) anakuwa na geosterone (female) hata wasichana wapo wenye hormone za kiume (testosterone). Hivyo action za mtu kama female or male hutegemea sn hizi hormones. Male anapozaliwa na geosterone hormone its naturally desires zake zitakuwa kama za binti.

Najiuliza hivi kama tunaheshimu dis ability nyingine km ulemavu wa akili, ngozi na viungo vingine, kwanini hawa watu waliopata ulemavu wa hormone tusiwatambue???
Declare your interest.......
 
  • Thanks
Reactions: PSM
Shindo kwa jina la yesu ibilisi shetan mkubwa ...mods ondoeni hii laaana huku nenda kuzimuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu iblisi
 
Ishu sio kuunga ama kutokuunga
Ishu ni utayari wa wananchi, kama kuna ulazima lazima watu waandaliwe kukabiliana ama kuukubali

Vinginenvyo watu watadhani wanahimizwa kuwa mashoga.
Hatuna haraka, tunahitaji muda wetu kama taifa kulitafakari hili, kama hatuko tayari hatutaki presha.
 
Issue ya homosexuality tuipe muda wa kuifikiri na kuijadili, over and over sio unakurupuka na kuanza kunyanyapaa gays. Mf kuna baadhi ya wanaume since anazaliwa anakua ana ulemavu wa hormones badala ya kuwa na testosterone (ya male) anakuwa na geosterone (female) hata wasichana wapo wenye hormone za kiume (testosterone). Hivyo action za mtu kama female or male hutegemea sn hizi hormones. Male anapozaliwa na geosterone hormone its naturally desires zake zitakuwa kama za binti.

Najiuliza hivi kama tunaheshimu dis ability nyingine km ulemavu wa akili, ngozi na viungo vingine, kwanini hawa watu waliopata ulemavu wa hormone tusiwatambue???

Sasa Mkuu, Jinsia Moja tunge zaanaje???????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
 
Unakumbuka stigma ya Ukimwi ilivyosababisha watu wakateketea??

Huu si muda wa kuondoa nyuzi ama kufumbana midomo, ni muda wa kujadiliana

Shindo kwa jina la yesu ibilisi shetan mkubwa ...mods ondoeni hii laaana huku nenda kuzimuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu iblisi
 
Kwani wote tumekuwa mashoga?

Sasa Mkuu, Jinsia Moja tunge zaanaje???????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????????
 
Kwani CUF si Waliberali?Nadhani hii dhiara ya Waliberali wenzao inawahusu sana.Nadhani Lipumba na Maalim pia watahudhuria.
hujaona amesema atabeba bendera ya USA atasimama barabarani !
 
Shindo kwa jina la yesu ibilisi shetan mkubwa ...mods ondoeni hii laaana huku nenda kuzimuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu iblisi

Wapo wanaopinga ushoga na kusema hatuutaki while mashoga wapo katikati mwetu tena wengi.

Nendeni zanzibar muone mashoga walivyo wengi. Ndio maana wanaolijua hili tatizo wamekaa kimya zinzibar huko wanaelewa san
a.
 
Kikwete akikubali upuuzi huo wa ushoga wa Obama atailetea balaa kubwa nchi yetu. Ningethamani asikubali.

Tuwe wenye kuchambua mambo kama huna sababu za kuupinga ushoga basi na usikurupuke tuanzishe mjadala wa kitaifa then tuchore mstari. Maafikiano ni yapi.

Haya maoni yangu yametokana na political view. Tusiingize dini kwenye huu mjadala. Kuna watu wenye tabia za kupre empty mambo ili wasishtukiwe camoon..Kama wewe ni shoga usifikiri ukiongea kwa kutokwa mapovu kuwa hatuutaki ushoga ili uonekane sio shoga ni kujidanganya, tuwekane wazi tujue tutasaidianaje. Tusifumbie macho hili tatizo jaman.
 
Shindwa ibilisi mooods tuondolee hii laana humu tuna isues za kujadili mfano tatzo la rushwa na uongoz mbovu na nmna tunavyoweza tumia hizi raslmali za nchi si hii topc iliyolaaniwa ata na vtabu vtakatfu
 
Back
Top Bottom