Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,018
- 144,377
Ni utamduni uliozoeleka na bila shaka ni wa kimagharibi zaidi ingawa uko dunia nzima.
Swali ni je, kwanini uonyeshe kuwa umeoa au umeolewa?
Kuna mahala watu hatambulika kwa ndoa?
Kama ni kulinda ndoa, ndio iwe kwa kuvaa pete?
Je, hii si mbinu ya kulazimisha watu kuheshimu ndoa?
Mfungwa atambulike kwa mavazi na mwenye ndoa kwa kuvaa pete, hii ni sawa?
Je, hawa wote sio wafungwa katika mazingira tofauti?
Tukumbuke wanawake mpaka pete ya uchumba.
Na je, vitabu vya dini vinaelekeza watu kuvaa pete za ndoa au kujitangaza kuwa nimeoa au nimeolewa?
Sipati majibu kabisa!
Swali ni je, kwanini uonyeshe kuwa umeoa au umeolewa?
Kuna mahala watu hatambulika kwa ndoa?
Kama ni kulinda ndoa, ndio iwe kwa kuvaa pete?
Je, hii si mbinu ya kulazimisha watu kuheshimu ndoa?
Mfungwa atambulike kwa mavazi na mwenye ndoa kwa kuvaa pete, hii ni sawa?
Je, hawa wote sio wafungwa katika mazingira tofauti?
Tukumbuke wanawake mpaka pete ya uchumba.
Na je, vitabu vya dini vinaelekeza watu kuvaa pete za ndoa au kujitangaza kuwa nimeoa au nimeolewa?
Sipati majibu kabisa!