Hyrax
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 604
- 1,534
Kuna jambo linanitatiza sana maana nimefanya research kiasi nikuwa huko mikoani na hata nilipofika huku Dar hili nimeliona sana.
Kwa mujibu wa utafiti wangu nilioufanya kwa kiasi toka miaka ya 2000 wanandoa wengi japo sio wote hawaonekani kuwa na pete za ndoa kwenye mikono yao, nilijaribu kuuliza baadhi ya wanandoa upande wa jinsia ya Me wengi walitoa sababu mbambali japo nyingi hazina mashiko na Kwa jinsia ya Ke ni hivyo hivyo.
Nimejaribu kutafakari ila naona kama kuna sababu zingine zenye uzito zaidi ambazo zinawafanya wawe si watu wa kuvaa pete za ndoa japo wanaishi wote kama wanandoa na wengi wakiwa sawa tu.
Hii kitalaamu imekaaje wajuvi mje mnifundishe Je, kuvaa pete ya ndoa ni Ushamba? Au si kitu cha maana kwenye utamaduni wetu sisi waafrika?
Kwa mujibu wa utafiti wangu nilioufanya kwa kiasi toka miaka ya 2000 wanandoa wengi japo sio wote hawaonekani kuwa na pete za ndoa kwenye mikono yao, nilijaribu kuuliza baadhi ya wanandoa upande wa jinsia ya Me wengi walitoa sababu mbambali japo nyingi hazina mashiko na Kwa jinsia ya Ke ni hivyo hivyo.
Nimejaribu kutafakari ila naona kama kuna sababu zingine zenye uzito zaidi ambazo zinawafanya wawe si watu wa kuvaa pete za ndoa japo wanaishi wote kama wanandoa na wengi wakiwa sawa tu.
Hii kitalaamu imekaaje wajuvi mje mnifundishe Je, kuvaa pete ya ndoa ni Ushamba? Au si kitu cha maana kwenye utamaduni wetu sisi waafrika?